Kama wanyama wangekuwa na whats up, stutus zao zingesomeka hivi

Mende: Mmh Mama mwenye Nyumba ana Mavuzi Mengi kudadeq akichuchumaa shida kwl ata sifaidi
 
Mbwa: akipotea wa dar ana trend twitter sisi wa kijijini hata Diwani hatujui
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Nzi
Siku moja moja binadamu nawalisha nnya zao.

Mbu
Alonifundisha umbea kaniponza, kila siku binadamu wananipiga kwa kusambaza umbea na sikomi

Mende
Binadamu wabaya sana kifo changu wao wameona dili kutumia kama style

Ng'ombe
Binadamu hawaachi kitu kwenye mwili wangu,
Nyama (steak) - Oysterbay
Nyama mifupa - Gongolamboto
Utumbo - Tandale
Ulimi - supu Chanika
Miguu - kongoro kwenye kila bar
Ngozi - Mtwara ngoma
Mapu**mbu - Tandika
Mapembe - Mshana Jr
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 


😀😀😀
 
Kunguni;usiku wa leo nimemnyonya jamaa ananuka majasho balaa
 
Hahahaha hiyo ya mwishoo kiboko
 
NGOMBE :" kuna wanaume wajinga sana, hawajui hesabu. Tunampa maziwa, nyama, mbolea, harafu anaenda kutubadilisha na yule galasa mwenye tabia za Mbwa jike[emoji3][emoji3]. Mama popi sio mbwa wew"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…