GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
NEC najua hapa JamiiForums mpo na 'mnanikodolea' zenu huku wengine hata mkiwa 'mnaninunia' pengine kwa 'Kuwasema' Kwangu ila nina bahati mbaya moja tu Mimi ni kama Bahari ambayo daima huwa haikai kamwe na Uchafu hivyo 'mnivumilie' tu na 'mnizoee' vile vile. Msiposemwa hamtobadilika na mkibadilika sasa mapema yote hii basi ndiyo Furaha yangu pamoja na Wapiga Kura wote waliopo.
Nimetoka 'Kulisikiliza' Tangazao lenu hasa lile la 'Redioni' linalohusu Upigaji Kura hapo tarehe 28, Oktoba 2020 na 'Maelekezo' yake yote. Kwa namna tu 'nilivyolisikia' na hata 'linavyosikika' Redioni kiukweli linakatisha mno 'Tamaa' Wapiga Kura kwani inaonyesha kuwa Siku hiyo ya Kupiga Kura Yule Mpiga Kura atakuwa na 'Mlolongo' mkubwa hadi akamilishe hilo 'Zoezi' la Kikatiba.
Nijuavyo Zoezi la Kupiga Kura linatakiwa liwe ni 'Rafiki' na lenye 'Mvuto' na 'Ushawishi' hasa wa 'Kimawasiliano' kwa Walengwa Wakuu ambao ni Mimi GENTAMYCINE na Watanzania wenzangu takribani Milioni 29 ambao tumejiandikisha. Tangazo lenu kama ukilisikiliza unaweza kudhani kuwa Kupiga Kura kutachukua ama Wiki Moja au hata Mbili.
RAI yangu Kwenu NEC na hasa kwa Mkuu wenu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Mawasiliano 'Mwanahabari' Dkt. Cosmas Mwaisobwa hebu lipitieni 'upya' na tumieni 'Mbinu' za 'Kimawasiliano' ili likienda 'hewani' liweze Kumfanya Mpiga Kura awe na hamu ya Kwenda Kupiga Kura Siku hiyo na lisimfanye Mpiga Kura aanze Kukata 'Tamaa' mapema kwa 'Kuhisi' kuwa atachelewa au ataboreka na Zoezi hilo zima.
Nimetoka 'Kulisikiliza' Tangazao lenu hasa lile la 'Redioni' linalohusu Upigaji Kura hapo tarehe 28, Oktoba 2020 na 'Maelekezo' yake yote. Kwa namna tu 'nilivyolisikia' na hata 'linavyosikika' Redioni kiukweli linakatisha mno 'Tamaa' Wapiga Kura kwani inaonyesha kuwa Siku hiyo ya Kupiga Kura Yule Mpiga Kura atakuwa na 'Mlolongo' mkubwa hadi akamilishe hilo 'Zoezi' la Kikatiba.
Nijuavyo Zoezi la Kupiga Kura linatakiwa liwe ni 'Rafiki' na lenye 'Mvuto' na 'Ushawishi' hasa wa 'Kimawasiliano' kwa Walengwa Wakuu ambao ni Mimi GENTAMYCINE na Watanzania wenzangu takribani Milioni 29 ambao tumejiandikisha. Tangazo lenu kama ukilisikiliza unaweza kudhani kuwa Kupiga Kura kutachukua ama Wiki Moja au hata Mbili.
RAI yangu Kwenu NEC na hasa kwa Mkuu wenu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Mawasiliano 'Mwanahabari' Dkt. Cosmas Mwaisobwa hebu lipitieni 'upya' na tumieni 'Mbinu' za 'Kimawasiliano' ili likienda 'hewani' liweze Kumfanya Mpiga Kura awe na hamu ya Kwenda Kupiga Kura Siku hiyo na lisimfanye Mpiga Kura aanze Kukata 'Tamaa' mapema kwa 'Kuhisi' kuwa atachelewa au ataboreka na Zoezi hilo zima.