meetnawe
Member
- Aug 1, 2013
- 9
- 1
Tunashukuru sana kwa watanzania wote wanaoendelea kutuunga mkono na kuikuza meetnawe, shukrani pia ziende kwa Radio Free Afrika - Mwanza, Tanzania kwa kuona thamani yetu na kutuunga mkono katika vipindi vyake vya wiki iliyopita na jana usiku.
MEETNAWE ni mtandao mpya wa kijamii uliotengenezwa na vijana wa kitanzania ulioanza kutumika taklibani miezi 3 iliyopita. Humu tumechanganya features za fb,twitter na kuongezea nyinginezo kama vile kuna PUBLIC CHAT: hapa watu wa nchi moja au na nyingene wanapata fulsa ya kuchat kwa pamoja na hata wanafunzi kuweza kufanya group discussions. Pia kuna akaunti maarumu kwa vipindi vya Radio na Televisheni, akaunti hii ikiwa na topics and news, polling area, request zone, suggestions box e.t.c... Kwa hili ina mana mtumiaji ataweza kuskiza au kuangalia kipindi akipendacho huku akiendelea kuwasiliana na wenzake, na mengineyo mengi.
Kwa kuijua zaidi tafadhali tembelea Welcome Welcome na tunakaribisha maswali pia hapa.
MEETNAWE ni mtandao mpya wa kijamii uliotengenezwa na vijana wa kitanzania ulioanza kutumika taklibani miezi 3 iliyopita. Humu tumechanganya features za fb,twitter na kuongezea nyinginezo kama vile kuna PUBLIC CHAT: hapa watu wa nchi moja au na nyingene wanapata fulsa ya kuchat kwa pamoja na hata wanafunzi kuweza kufanya group discussions. Pia kuna akaunti maarumu kwa vipindi vya Radio na Televisheni, akaunti hii ikiwa na topics and news, polling area, request zone, suggestions box e.t.c... Kwa hili ina mana mtumiaji ataweza kuskiza au kuangalia kipindi akipendacho huku akiendelea kuwasiliana na wenzake, na mengineyo mengi.
Kwa kuijua zaidi tafadhali tembelea Welcome Welcome na tunakaribisha maswali pia hapa.