BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Salaam Wana jukwaaa,
Nataraji mko bukheri wa afya, kwa wale wenye afya yenye mushkeli Bai nawombea Kwa MOLA, awafanyie wepesi wapate kupona na kuendelea na majukumu Yao ya hali, ila kama ya haramu hapana. Katika utumishi wa umma inaonekana Kuna ufisadi sana wa Mali za umma ha fedha.
Hivi kwa mfano baada ya watumishi wa umma kuajiriwa wangekua wanakopeshwa magari ya kawaida tu au Yale yasiozidi milioni ishirini,na kukopeshwa pia nyumba za kawaida vymba vitat au vinne, wakawa wanalipa kidogo kidogo.
Hivi Kuna mtumishi wa umma angefanya ufisadi au wizi kweli? Maana watu wanaiba Ili kujenga majumba na kununua magari, Sasa vyote umeshapata hivi utaiba Ili iwe Nini?
Nadhani ni fursa Kwa wafanyabiashara kufanya hiyo kitu Ili kupitia serikali kufanya hiyo kitu,kama yalivyo mabenki,yanayokopesha watumishi mkopi mpaka wa miaka minane Kwa watumishi.
Binafsi sioni tatizo kama mtumishi ana contract ya permanent and pensionable terms akikopeshwa mkopi hata wa miaka ishirini ukiwa atapewa vitu kama nyumba na gari.
AHSANTE KWA KUSOMA BANDIKO LANGU[emoji120][emoji120]
Nataraji mko bukheri wa afya, kwa wale wenye afya yenye mushkeli Bai nawombea Kwa MOLA, awafanyie wepesi wapate kupona na kuendelea na majukumu Yao ya hali, ila kama ya haramu hapana. Katika utumishi wa umma inaonekana Kuna ufisadi sana wa Mali za umma ha fedha.
Hivi kwa mfano baada ya watumishi wa umma kuajiriwa wangekua wanakopeshwa magari ya kawaida tu au Yale yasiozidi milioni ishirini,na kukopeshwa pia nyumba za kawaida vymba vitat au vinne, wakawa wanalipa kidogo kidogo.
Hivi Kuna mtumishi wa umma angefanya ufisadi au wizi kweli? Maana watu wanaiba Ili kujenga majumba na kununua magari, Sasa vyote umeshapata hivi utaiba Ili iwe Nini?
Nadhani ni fursa Kwa wafanyabiashara kufanya hiyo kitu Ili kupitia serikali kufanya hiyo kitu,kama yalivyo mabenki,yanayokopesha watumishi mkopi mpaka wa miaka minane Kwa watumishi.
Binafsi sioni tatizo kama mtumishi ana contract ya permanent and pensionable terms akikopeshwa mkopi hata wa miaka ishirini ukiwa atapewa vitu kama nyumba na gari.
AHSANTE KWA KUSOMA BANDIKO LANGU[emoji120][emoji120]