Kama we ni mwanamke mwenye sifa hizi

msani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
1,801
Reaction score
1,191
Mi kijana wa kiume,umri wangu ni miaka 28,nipo dar.
Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo
-awe mcha mungu,kristo
-umri kati ya miaka 20-25
-awe mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa au mkoa mwingine wowote isipokuwa arusha na kilimanjaro
-asiwe mnene sana ila kama mwembamba mrefu ni sawa lkn sio lazima
-elimu isiyopungua kidato cha 6 na isiyozidi degree 1
-asiwe na mtoto wala hajawahi kuolewa
mambo mengine ni ya kuongea sisi wawili
kama unamaanisha na una sifa hizo naomba tuwasiliane,na nikimpata nitatoa taarifa kwa wana jf ili kusiwepo na usiri na ijulikane kuwa nina mtu tayari

nawasilisha
 
kila la kheri,
I almost got it,hapo kwenye unene ndo pameniharibia
 
kila la kheri,
I almost got it,hapo kwenye unene ndo pameniharibia
usijali wewe utakuwa ni wa mtu mwingine,siwezi kukuambia upunguze maana kuna mwingine anahitaji sifa kama zako dada
 
suala la kumpata mke mwema a.k.a mwenza na msaidizi wa maisha ya mwanaume sio suala la lelemama ni suala mtambuka..naomba lichukuliwe kwa unyeti wake...niwasilishe
 
jamani mi niko serious,kama kweli una hizo tuwasiliane,naomba kwa wale ambao hawana hizo wasinitumie msg au hakuna msichana mwenye sifa na ambaye anahitaji mtu mwenye sifa kama zangu,tuwasiliane kwa address famon1987@yahoo.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…