Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Fanya mazoezi kabisa , maana mbingu haikuhusu.One night stand.
Umenivhekesha sana eti waefeso'Tuma na ya kutolea', my dear friend...usije ukawa unanionea gere utakaponiona mbinguni nagonga cheers na waefeso.
Imeandikwa kila mmoja atavuna alichokipanda. Sasa we upande kujipodoa uvune pesa zangu."Kuna mishe naisikiliza"
"Nitakutumia ijumaa nikumbushe, ijumaa ikifika missed call 799"
Nyie ndugu mbingu mtaisikia kwenye mahubiri ya Mwamposa tu
Cheef mbingu utaisikia tu ππImeandikwa kila mmoja atavuna alichokipanda. Sasa we upande kujipodoa uvune pesa zangu.
π π π π waanze kupasua kuni za Moto wao ..."Kuna mishe naisikiliza"
"Nitakutumia ijumaa nikumbushe, ijumaa ikifika missed call 799"
Nyie ndugu mbingu mtaisikia kwenye mahubiri ya Mwamposa tu
Hahaa nimecheka sana'Tuma na ya kutolea', my dear friend...usije ukawa unanionea gere utakaponiona mbinguni nagonga cheers na waefeso.
My nikwambie?'Tuma na ya kutolea', my dear friend...usije ukawa unanionea gere utakaponiona mbinguni nagonga cheers na waefeso.
π€£π€£π€£Mbingu ina wenyewe! Sisi wajuba tutakuwa tunazungukazunguka kuta za mbingu tukivuta bangi zetu na kukaba vimalaika vitakavyotumwa dukani
Underrated comment,Mbingu ina wenyewe! Sisi wajuba tutakuwa tunazungukazunguka kuta za mbingu tukivuta bangi zetu na kukaba vimalaika vitakavyotumwa dukani
π€£π€£π€£ naangalia movie jamaa anapigwa lkn anasema anaenda mbinguni mwenzake anamwambia mbingu ipi wakati ulipo hapa Ni paradise π€£π€£Mbingu ina wenyewe! Sisi wajuba tutakuwa tunazungukazunguka kuta za mbingu tukivuta bangi zetu na kukaba vimalaika vitakavyotumwa dukani