Kama wewe ni mfanyabiashara kuwa makini na wale jamaa wanaokuja na kujitambulisha kuwa ni mawakala wa kampuni fulani na wanasambaza bidhaa

Kama wewe ni mfanyabiashara kuwa makini na wale jamaa wanaokuja na kujitambulisha kuwa ni mawakala wa kampuni fulani na wanasambaza bidhaa

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Utapeli mwingine na namna hii. Either anakuwa tapeli ahusiki na kampuni hio au ni winga wa kukusanyia bidhaa ila anajitambulisha kuwa ni wa kampuni husika.

Unakuta hadi bizness cards wameandaa either ikiwa na jina ya kampuni maarufu au kampuni feki alioitunga.

Then anakuambia tumepita kutangaza kampuni yetu na kama utahitaji bidhaa nipigie na tutakutumia mzigo.

Sasa ukiingia kingi siku unaagiza bidhaa unatuma mpunga ndio basi tena pesa isharuka hio na bidhaa utaambulia kula upepo.
 
Hii mbinu bado nyepesi sana, hivi bado kuna watu karne hii wakukamatika na mbinu ya kitoto kama hii?
 
ndio kuna kampuni hawaleti mpaka ulipie, muhimu kuverify kampuni na kulipa kwenye acc zenye majina ya kampuni
Yaani mtu humjui, anakuja dukani kwako, anakuambia ulipie ndiyo alete mzigo na wewe unalipa? Nadhani unamaanisha pale unapolipia kwenye kampuni ambayo inajukana na unatumia channel yao rasmi. Anyway, Tanzania watu wana tabia ya kuamini watu kwa urahisi mno ndiyo maana watu wanatapeliwa kwa urahisi. Kuamini watu kwa urahisi + kupenda dezo + kupenda utajiri wa haraka = kupigwa.
 
Utapeli mwingine na namna hii. Either anakuwa tapeli ahusiki na kampuni hio au ni winga wa kukusanyia bidhaa ila anajitambulisha kuwa ni wa kampuni husika.

Unakuta hadi bizness cards wameandaa either ikiwa na jina ya kampuni maarufu au kampuni feki alioitunga.

Then anakuambia tumepita kutangaza kampuni yetu na kama utahitaji bidhaa nipigie na tutakutumia mzigo.

Sasa ukiingia kingi siku unaagiza bidhaa unatuma mpunga ndio basi tena pesa isharuka hio na bidhaa utaambulia kula upepo.
Unatumaje pesa kabla ya kupokea mzigo?
 
Kuna mshenz kamtapeli shemeji yangu creti mbili tupu zasoda, amefika akajitambulisha ni wakala wa Peps, gari lipo linashusha maduka yanyuma akamuambia kama anahitaji soda ampatie makreti akamletee kwakua gari itageukia hapo hapo ilipo ,bas akampatia bhna kret mbili akija nasoda anampatia hela, jamaa akaondoka amezishika mikononi huku nahuku akapotea nazo mazima hadi leo
 
Back
Top Bottom