Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

Tmainitvp

Member
Joined
Mar 25, 2019
Posts
64
Reaction score
119
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbaya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana[emoji1430]

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
 
You got a point. Wanawake wengi wakishatupia monde, beki huwa hazikabi kabisa na huishia vitandani mwa watu pengine bila kuwa wamependa kwa 100%.

Speaking from lots of experience[emoji846]
yeah, upo sahihi bro
nimetembelea sehem nyingi kama hizo
walahi watu wanazini sana
nimeshuhudia wake wengi za watu wanaliwa kimasihara kabsa
soon ntaleta uzi wa my friend alie pangiwa apartment na mke wa mtu ili awe anamnyandua tu.
 
Double standard ina apply wapi hapo. Mfano wewe uwe na binti yako anakurudia nyumbani kwako saa tano za usiku then kama mzazi unapiga mkwara, akwambie mama una double standard, mbona baba anarudi saa sita za usiku!
binafsi nafatilia comment zako sana
niamini mimi una kitu kikubwa kichwani
siku ukibadili id please let me know
 
Back
Top Bottom