Kama wewe ni mwanamke wa miaka 30+ na upo single inakuhusu

Kama wewe ni mwanamke wa miaka 30+ na upo single inakuhusu

Mlima meru

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
20
Nina nafasi mbili za complimentary za kupanda mlima meru wiki ya pili ya mwezi wa nne (100% free)
Napenda kama kuna msichana adventure ambaye anapenda kupanda/ kujaribu anijulishe tujumuike;
Sifa:
· Awe single
· Umri kuanzia miaka 30 hadi 34 na asiwe na mtoto

· Awe anamuamini mungu preferably Islam
· Awe amesoma vizuri au mfanya biashara (anayejitegemea)
· Awe mzuri na akiwa bantu figure will be prefered
· Awe anaishi/anafanya kazi maeneo ya karibu na mlima meru (Arusha?)


Kumbuka, kwa mgeni (wa nje ya nchi) kupanda mlima meru analipa kati ya $800 na $1200

Mimi kupanda huo mlima sio mara ya kwanza; ILA siku hiyo nitakuwa na wageni (wa nje ya nchi) hivyo nitakuwa nawapa company hivyo...nimejaribu kuweka sifa ili angalau...kuleta taswira ya aina flani.

Kama una meet vigezo naomba uni pm
 
wewe unatafuta mtu wa kupanda nae mlima au unatafuta mpenzi? maana masharti mengi sana hapo why? kuwa muwazi unataka nini mkuu
 
Kwanza watu wa vipedo wametoka wapi arusha ?
 
nashukuru kwa mawazo yanu...
hili tangazo nililiweka juzi kwenye blog ya kizungu hadi sasa wamesha omba watu 13 ila sihitaji wazungu...kwa kuwa nitakuwa nao kwenye hiyoclimb...sihitaji wengine.
Ukweli ni kuwa...rafiki atakayekuwa anapenda anaweza kubadilika jina na kuwa mchumba...you never know...
Pia kupanda mlima sio lazima kufika juu....
Watu huenda kwa leisure kwa siku moja au mbili wanarudi... just to keep the body fit...
Kama mtu atakuwa na hizo sifa ila asiw na hoby ya mlima ..anaweza kupata pia program tofauti...leisure package
 
Kupanda mlima, kunaingilianaje na kuwa singo, bantu figure, una kazi au la, dini na kutokuwa na mtoto? Weka malengo yako wazi mkuu, kuliko kuwa na hidden agendas.
 
mtafute JD, juzi kati hapa kapanda mlima kilimanjaro mpaka kileleni
 
Au kupanda mlima kunaweza kuwa na maana nyingine? Tena kupanda mpaka kufika kileleni?
 
Haya masharti ya kupanda mlima mie hoi! Mpaka na dini ndani, singo, bantuism mwondoko I assume pia.
 
Wanawake wanadhalilishwa humu
Hakyanami!
Binadamu hawa wamekuwa bidhaa za starehe na kufurahisha akili na bongo za wanaume!
Umbo la kibantu maana yake uwe na kalio la kutosha!...mmmhhhhhh!
Huo upandaji mlima sijui utakuwaje!
Au Mkuu umepewa tenda na Wazungu ili wakawaharibu dada zetu nini, halafu ulambe kamisheni!
Aiseee!
 
Hakyanami!
Binadamu hawa wamekuwa bidhaa za starehe na kufurahisha akili na bongo za wanaume!
Umbo la kibantu maana yake uwe na kalio la kutosha!...mmmhhhhhh!
Huo upandaji mlima sijui utakuwaje!
Au Mkuu umepewa tenda na Wazungu ili wakawaharibu dada zetu nini, halafu ulambe kamisheni!
Aiseee!

unaweza ukacheka humu hata ukapoteza fahamu,watu wana hoja na vioja
 
Back
Top Bottom