Safi, ngoja sie wa Katavi tuje.Asante cuteloveMsimamo unilinde,siwezi kudate na mwanaume anayeishi Dar,yaani sijui kwa nini ila kwa kifupi ukinifuata pm ukishanambia upo Dar huwa sireply.moyo hupendi wanaume wanaokaa Dar
Kama unakaa Dar,usisumbuke kunipm,hutajibiwa,au hutatimiza lengo lako
Asante
Mimi simo hahahahah!
Dar hawana kitu,soft mnoooo.Walishindwa hata kumsaidia mtoto wa chuo akauawa.Wao kuvaa milege tu!!Umeona eeeh
Labda wew uje na agenda nyingine
Unawazungumziaje wanaume wa mikoani ila wanaishi Dar. na wale wa Dar wanaoishi mikoani kwa sasa. But anyway mambo ni mengi...Mimi simo hahahahah!
=hatimaye.Mungu mkubwa,, atimae wanaume wa mikoani tumeanza kuthaminiwa kwenye uwanja wa kwichikwichi,