Kama wewe ni sehemu ya watekaji, Mungu amenionesha kiama chenu

Kama wewe ni sehemu ya watekaji, Mungu amenionesha kiama chenu

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu salama? Niwasalimu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo wana - JF.

Mada hii fupi sana: Kama wewe ni sehemu ya watekaji tubu na jiandae, Mungu amenionesha pigo kubwa juu yenu.

Akinionesha mfano wa mmoja wenu ambaye ni mtekaji, alifika mahali tulipokuwa ambapo ilionekana kuna watu wengi kama vile kulikuwa na matukio mawili:
  1. Maandalizi ya mtu mmoja kufunga ndoa.
  2. Mama aliyejifungua akitafutiwa ndizi kwenye shamba fulani.
Tulipokaa ni kwenye mji wa mtu, lakini kuna barabara mbili zinazoingia: moja kutoka Magharibi na nyingine kutoka Kusini, ambayo pembeni yake kuna gema fulani.

Ndani ya mshangao, alitokea kijana ambaye binafsi nilimwona kama sura ya rafiki yangu niliyesoma naye, ingawa hatuna mawasiliano kwa muda. Alionekana amechoka sana, akitembea kwa shida na nguo zake zimechakaa. Aliletwa na gari ndogo akiwa ameambatana na baba mmoja na mama mmoja kama wasamaria wema, lakini moyoni nikaambiwa kuwa alitekwa. Yule kijana akaambiwa apite nyuma ya nyumba na watu waliokuwepo pale, na yule mzee akatoa elfu kumi za Kitanzania kama msaada kwa kijana huyo.

Pale tulipokuwa tumekaa, mtu mmoja alipigiwa simu kutoka kwa mtu aliyekuja na gari kupitia barabara ya Magharibi, akamchukua mtu mmoja kwa haraka kuelekea kwenye gari la aliyepiga simu, na gari hiyo ikaondoka haraka.

Dakika moja baadaye, gari nyingine iliingia kwa kasi kubwa kutoka barabara ya Kusini, ambapo pembeni yake kuna gema, na ndani yake walikuwepo watu wawili: kijana wa makamo na mwili kidogo. Gari ilikata kona mbele yetu, lakini ilipotaka kurudi nyuma, ikatumbukia kwenye gema.

Gari hiyo ilikuwa na yule kijana mmoja na dereva wa pili, ambao wote walivunjika miguu huku wakitokwa na damu na wakiomba msaada. Watu walipojitokeza kuwasaidia, mmoja alisema kuwa wale ni watekaji, na kichapo kikaanza. Wengine walipendekeza wakatwe mikono. Mmoja alijitambulisha kuwa anatoka Kigoma.

Soma Pia:
Nikaambiwa kuwa kiama chao kinakuja, watachapwa fimbo na kupata mateso mara mia zaidi ya wanayowapa wanaowateka.

Kumbuka: Siku zote watenda madhambi huwa watu wa kudharau. Kama wewe ni mtekaji, ukitaka kubali sawa, hutaki pia sawa, lakini kiama chenu kinakuja. Sijataka kwenda kwa undani sana, lakini nimeonyeshwa mengi. Anzeni kuandaa makaburi yenu.
 
Yalogwe yafe yote
Mkuu yapo mambo nimeacha niliooneshwa wakaati mama aliejifungua akitafutiwa ndizi kwenye shamba ya migomba , ila pia yule bwana aliepiga sim na mmoja kuchukuliwa kwenye gari lake ,ni mtu mwema na yupo katika harakati za kisiasa tz ,ili ilikua jitihada za kumuokoa yule mtu kabla ya wale waliovunjika kufika ,siwezi sema wengine watasema naingiza siasa , that's nimeskip mengine, Mungu wangu mwaminifu sana, siku Bwana akanipa kibali tena nitoa yaliyo makuu
 
Mkuu yapo mambo nimeacha niliooneshwa wakaati mama aliejifungua akitafutiwa ndizi kwenye shamba ya migomba , ila pia yule bwana aliepiga sim na mmoja kuchukuliwa kwenye gari lake ,ni mtu mwema na yupo katika harakati za kisiasa tz ,ili ilikua jitihada za kumuokoa yule mtu kabla ya wale waliovunjika kufika ,siwezi sema wengine watasema naingiza siasa , that's nimeskip mengine, Mungu wangu mwaminifu sana, siku Bwana akanipa kibali tena nitoa yaliyo makuu
Watekaji na wauaji kwa sababu tu ya tamaa ya madaraka ili wawafurahishe watawala, laana yao ni kubwa.

Kisasi ni chake aliye juu.
 
Wakuu salama? Niwasalimu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo wana - JF.

Mada hii fupi sana: Kama wewe ni sehemu ya watekaji tubu na jiandae, Mungu amenionesha pigo kubwa juu yenu.

Akinionesha mfano wa mmoja wenu ambaye ni mtekaji, alifika mahali tulipokuwa ambapo ilionekana kuna watu wengi kama vile kulikuwa na matukio mawili:
  1. Maandalizi ya mtu mmoja kufunga ndoa.
  2. Mama aliyejifungua akitafutiwa ndizi kwenye shamba fulani.
Tulipokaa ni kwenye mji wa mtu, lakini kuna barabara mbili zinazoingia: moja kutoka Magharibi na nyingine kutoka Kusini, ambayo pembeni yake kuna gema fulani.

Ndani ya mshangao, alitokea kijana ambaye binafsi nilimwona kama sura ya rafiki yangu niliyesoma naye, ingawa hatuna mawasiliano kwa muda. Alionekana amechoka sana, akitembea kwa shida na nguo zake zimechakaa. Aliletwa na gari ndogo akiwa ameambatana na baba mmoja na mama mmoja kama wasamaria wema, lakini moyoni nikaambiwa kuwa alitekwa. Yule kijana akaambiwa apite nyuma ya nyumba na watu waliokuwepo pale, na yule mzee akatoa elfu kumi za Kitanzania kama msaada kwa kijana huyo.

Pale tulipokuwa tumekaa, mtu mmoja alipigiwa simu kutoka kwa mtu aliyekuja na gari kupitia barabara ya Magharibi, akamchukua mtu mmoja kwa haraka kuelekea kwenye gari la aliyepiga simu, na gari hiyo ikaondoka haraka.

Dakika moja baadaye, gari nyingine iliingia kwa kasi kubwa kutoka barabara ya Kusini, ambapo pembeni yake kuna gema, na ndani yake walikuwepo watu wawili: kijana wa makamo na mwili kidogo. Gari ilikata kona mbele yetu, lakini ilipotaka kurudi nyuma, ikatumbukia kwenye gema.

Gari hiyo ilikuwa na yule kijana mmoja na dereva wa pili, ambao wote walivunjika miguu huku wakitokwa na damu na wakiomba msaada. Watu walipojitokeza kuwasaidia, mmoja alisema kuwa wale ni watekaji, na kichapo kikaanza. Wengine walipendekeza wakatwe mikono. Mmoja alijitambulisha kuwa anatoka Kigoma.

Soma Pia:
Nikaambiwa kuwa kiama chao kinakuja, watachapwa fimbo na kupata mateso mara mia zaidi ya wanayowapa wanaowateka.

Kumbuka: Siku zote watenda madhambi huwa watu wa kudharau. Kama wewe ni mtekaji, ukitaka kubali sawa, hutaki pia sawa, lakini kiama chenu kinakuja. Sijataka kwenda kwa undani sana, lakini nimeonyeshwa mengi. Anzeni kuandaa makaburi yenu.
Mafwele atakufa kifo cha mateso sana
 
Ukiendelea kumsubiri mungu achukue hatua dhidi ya wanaokudhulumu haki yako, utasubiri sana, hao wanao wateka na kuwauwa wanawaaminisha ninyi mungu yupo ili hali wao hawamuamini. Tumia akili, chukua hatua
 
Na mimi nilionyeshwa mtekaji kapata kichaa yupo stendi ya daladala mbezi anaomba msosi halafu jioni akaenda kulala sehemu kama genge kisha mbwa wakamuingilia kunako njia ya upepo
 
Ukiendelea kumsubiri mungu achukue hatua dhidi ya wanaokudhulumu haki yako, utasubiri sana, hao wanao wateka na kuwauwa wanawaaminisha ninyi mungu yupo ili hali wao hawamuamini. Tumia akili, chukua hatua
Unachosema upo sawa , ila tumeona Mungu yupo na njia zake za kuadabisha watu waovu
 
Mkuu yapo mambo nimeacha niliooneshwa wakaati mama aliejifungua akitafutiwa ndizi kwenye shamba ya migomba , ila pia yule bwana aliepiga sim na mmoja kuchukuliwa kwenye gari lake ,ni mtu mwema na yupo katika harakati za kisiasa tz ,ili ilikua jitihada za kumuokoa yule mtu kabla ya wale waliovunjika kufika ,siwezi sema wengine watasema naingiza siasa , that's nimeskip mengine, Mungu wangu mwaminifu sana, siku Bwana akanipa kibali tena nitoa yaliyo makuu
Funguka mkuu tuokoe taifa letu
 
Back
Top Bottom