Kama wewe ni wa kiume na hujawahi tumia hii, basi we bado mtoto

Halafu ukiangalia mfukoni una hela ya kulipia guest tu na ndani ya miezi mitatu huna mpago wa kupata hela ya karibu na bado una madeni kibao unasumbuliwa... Hapo lazma ukonde
hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…