Mr Justin
New Member
- Sep 14, 2019
- 2
- 0
Habari za wakati huu wakuu?? Natumaini wote ni wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku
Moja kwa moja niende kwenye lengo la uzi huu mimi nataka nifungue biashara yangu( )ambayo itanihitaji ninunue tv ili kuifanikisha kama moja ya mahitaji ya biashara husika tv ninazo zihitaji ni kwanzia nch 43+ nimeangalia brands kubwa kubwa kama Lg,Samsung,Toshiba,Tcl,Hitach na nyinginezo ambapo bei zake zinaanzia 800k (sio smart)
Lakini brands hizo hizo nimefuatilia second hand zinaanzia kwenye 650k ambazo zina ukubwa huo huo mean 43+ na bado zipo kwenye condition nzuri
Upande wa pili nimeangalia brands za kawaida zenye bei rafiki kama Star x,Abooder na evvol na nyinginezo zenye ukubwa wa inch 43+ ambazo ni mpya bei zake zinaanzia 650k na kuendelea
Tuje upande wa quality kutokana na uelewa wangu na nilipo zifanyia comparison naona hazitofautiani sana hata kwenye kudumu nimesikia zinadumu kulingana na utunzaji wako
Sasa kwa wajuzi wa haya mambo naombeni ushauri wenu kwa budget yangu ya 700k nichukue hizo brands za kawaida mpya au nichukue brands kubwa ambazo ni used kwakuzingatia vigezo vya ubora wa picha,bei na namna zinavyo dumu
Moja kwa moja niende kwenye lengo la uzi huu mimi nataka nifungue biashara yangu( )ambayo itanihitaji ninunue tv ili kuifanikisha kama moja ya mahitaji ya biashara husika tv ninazo zihitaji ni kwanzia nch 43+ nimeangalia brands kubwa kubwa kama Lg,Samsung,Toshiba,Tcl,Hitach na nyinginezo ambapo bei zake zinaanzia 800k (sio smart)
Lakini brands hizo hizo nimefuatilia second hand zinaanzia kwenye 650k ambazo zina ukubwa huo huo mean 43+ na bado zipo kwenye condition nzuri
Upande wa pili nimeangalia brands za kawaida zenye bei rafiki kama Star x,Abooder na evvol na nyinginezo zenye ukubwa wa inch 43+ ambazo ni mpya bei zake zinaanzia 650k na kuendelea
Tuje upande wa quality kutokana na uelewa wangu na nilipo zifanyia comparison naona hazitofautiani sana hata kwenye kudumu nimesikia zinadumu kulingana na utunzaji wako
Sasa kwa wajuzi wa haya mambo naombeni ushauri wenu kwa budget yangu ya 700k nichukue hizo brands za kawaida mpya au nichukue brands kubwa ambazo ni used kwakuzingatia vigezo vya ubora wa picha,bei na namna zinavyo dumu