Kama wewe ungekuwa Mwalimu wa mafunzo Jeshi la Polisi ungemfanya nini

Kama wewe ungekuwa Mwalimu wa mafunzo Jeshi la Polisi ungemfanya nini

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Naomba maelezo yawe mafupi.

FB_IMG_1677436537658.jpg
 
Bora umzibue tu aliyetekwa ilo umpate jambazo wako,hahaaa
 
Huyu hakuelewa swali, ndio maana amelijibu kwa kujiamini akiamini amelielewa swali.. Coz kwa accuracy hiyo ya shooting angeelewa swali bado angefanya vizuri( Kiufupi hakueleweshwa yupi ni yupi, lakini shabaha anayo)
Nafikiri Alitakiwa alenge hayo maduara 4 ya kijivu.
 
Back
Top Bottom