Kama wewe utafanyaje....????

Kama wewe utafanyaje....????

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
Umekaa na mpenzi wako sebuleni mmepumzika usiku...gafla unamuona anachart na hauna tym naye kwa anachokifanya gafla unasikia mlio wa msg kwenye simu yako,Unafungua msg na kusoma unakuta imetoka kwake-
ikisema
"AS i tld we were not serious,am urz u dont av 2 wor,ningekuwa nakudanganya ucngeweza niona tena kwa yaliyotokea.NAKUPENDA"

lakini bila kugundua amekosea namba anaendelea kuchart tu.UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI.
 
hapo chakufanya ni kujipanga tena shukuru kwakuyajua kua unakula na mwenzio.
 
anamaliza kukosea msg hiyo ...then anakwambia dear tukalale...ana kuhug....ndomana watu wanaua mmmhh
 
Hapo nikuchukua hatua tu maana ushahidi unao. wewe mwenyewe na principles zako za maisha sasa, kunyoa ama kusuka.

Waweza amua kunyoa but cjui utaacha wangapi maana cku hizi waaminifu ni wachache sana au tuseme tu hamna!
 
Hapo lzm nimuweke mtu kati anipe maelezo kabla sijaamua chochote,
Na maelezo yake ndio yatanifanya nijua cha kuamua coz hiyo ni msg tu ambyo hainihakikishii km ameshanisaliti tayari au kuna mtu ndio anamendea na mengine mengi,

So hapo ni kuvunja ukimya na kuelezana na maelezo yake ndio yatakusaidia kufanya maamuzi na sio kukurupuka kuachana bila kutafuta chanzo cha matatizo alafu badae ukiujua ukweli ndio unaanza kujuta.
 
baada ya kufatilia nikagundua kuwa huyo jamaa aliemtumia msg walikutana DAR...na akamwambia kuwa hakuwa na mpenzi alitendwa...na baadae wakawa na mahusiano kabisa...baada ya muda akamkuta huyo jamaa na mwanamke mwingine wakagombana lakini wakapatana ...yule mdada waliachana kitambo....
 
Haloo! Sasa unataka nini na ushaambiwa kafumania hawara wake na kasemehe? Hapo wewe uko "just in case.....". Bwana eh, akili za kuambiwa changanya na za kwako.
Angalizo: Kama ni mtu wa imani kama mimi,ningezama kwenye maombi. Mungu wetu aliye hai hashindwi kitu
 
baada ya kufatilia nikagundua kuwa huyo jamaa aliemtumia msg walikutana DAR...na akamwambia kuwa hakuwa na mpenzi alitendwa...na baadae wakawa na mahusiano kabisa...baada ya muda akamkuta huyo jamaa na mwanamke mwingine wakagombana lakini wakapatana ...yule mdada waliachana kitambo....


:smash::smash::smash:...............mkuu na wewe jiandae kuumizwa hapo, kama alivyosema mwenyewe hachukulii serious......... so changanya na za kwako
 
Dearest muulize kwann kakufanyia hivyo bt please dnt leave her huwenda anakupenda wewe zaidi, ujue sisi wanawake 2napenda kuwapa maneno matam wanaume bt it doesnt mean we love them mfano nikiwa facebuk napenda kudhihak wanaume wanaopenda nitongoza ovyo hasa kuna kipind nasahau futa msg imagne ndo mpenz wangu anazikuta si ataniua jaman? Bt wale naochat nao wala siwapend ibilisi na ukahaba wa maneno bt i dnt practise them in realite, and ni mpenz wangu tu ndo naempenda na kumheshimu, pls ongea nae kwa makin na msikilize, akikupa majibu ya kuridhisha msamehe tafadhali, two wrongs dnt make right.
 
Kaazi kweli kweli,....
una sahau tu,then assume ni dada yako ana chat na boyfriend wake.
Haiumizi hata kidogo.
 
Umekaa na mpenzi wako sebuleni mmepumzika usiku...gafla unamuona anachart na hauna tym naye kwa anachokifanya gafla unasikia mlio wa msg kwenye simu yako,Unafungua msg na kusoma unakuta imetoka kwake-
ikisema
"AS i tld we were not serious,am urz u dont av 2 wor,ningekuwa nakudanganya ucngeweza niona tena kwa yaliyotokea.NAKUPENDA"

lakini bila kugundua amekosea namba anaendelea kuchart tu.UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI.

Piga nyama chini hiyo!!
 
Back
Top Bottom