zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Hapo nikuchukua hatua tu maana ushahidi unao. wewe mwenyewe na principles zako za maisha sasa, kunyoa ama kusuka.
baada ya kufatilia nikagundua kuwa huyo jamaa aliemtumia msg walikutana DAR...na akamwambia kuwa hakuwa na mpenzi alitendwa...na baadae wakawa na mahusiano kabisa...baada ya muda akamkuta huyo jamaa na mwanamke mwingine wakagombana lakini wakapatana ...yule mdada waliachana kitambo....
Umekaa na mpenzi wako sebuleni mmepumzika usiku...gafla unamuona anachart na hauna tym naye kwa anachokifanya gafla unasikia mlio wa msg kwenye simu yako,Unafungua msg na kusoma unakuta imetoka kwake-
ikisema
"AS i tld we were not serious,am urz u dont av 2 wor,ningekuwa nakudanganya ucngeweza niona tena kwa yaliyotokea.NAKUPENDA"
lakini bila kugundua amekosea namba anaendelea kuchart tu.UNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI.