denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Wakuu Salaam!
Najiuliza kama hawa wapiga kelele wanakimbia taifa hawataki kucheza na Simba angalau tupate mazoezi kabla ya kwenda bondeni, au wakijitutumua kuingiza timu uwanjani tunawapiga mpaka goli nne, wakijitahidi sana labda wapate sare
Najiuliza ni timu gani nyingine iliyobaki hapa Tanzania yakushindana na Simba SC ili kuifanya Simba iwe competitive zaidi kimataifa?
Yanga wamekuwa dhaifu kiasi kwamba sasa wamebaki kufurahia kila wakiona Simba imefungwa na timu nyingine, kwani wao walishapoteza uwezo wa kuifunga Simba SC siku nyingi sana.
Najiuliza kama hawa wapiga kelele wanakimbia taifa hawataki kucheza na Simba angalau tupate mazoezi kabla ya kwenda bondeni, au wakijitutumua kuingiza timu uwanjani tunawapiga mpaka goli nne, wakijitahidi sana labda wapate sare
Najiuliza ni timu gani nyingine iliyobaki hapa Tanzania yakushindana na Simba SC ili kuifanya Simba iwe competitive zaidi kimataifa?
Yanga wamekuwa dhaifu kiasi kwamba sasa wamebaki kufurahia kila wakiona Simba imefungwa na timu nyingine, kwani wao walishapoteza uwezo wa kuifunga Simba SC siku nyingi sana.