kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nimemsikia mwenyekiti wa Yanga akidai kwamba mkataba ulikuwa na mapungufu na mapungufu siyo sababu ya kuvunja mkataba.
Naomba kujua kisheria,je ni mapungufu yapi yanaweza kuchukuliwa ni ya kawaida na hivyo hata kama upande mmojawapo kati ya walioingia mkataba akawa hakuridhika analazimika tu kuutekeleza ukiwa na mapungufu hivyo hivyo?
Je TFF walikosea kuwabeba Yanga kwa kulibadili kosa la ku temper na mkataba kuwa mapungufu ya kimkataba tu?
Vipi nalala aliyokuwa nayo Morrison, imefanyiwa mabadiliko hayo yaliyoonekana mapungufu tu?
Kwa nini Yanga hawakuadhibiwa kwa kujaribu kudanganya kuhusu mkataba wa Morrison?
Ni kweli viongozi wa Yanga hawana wanasheria wa kuwaelewesha kuhusu masuala ya makosa ya kujaribu kughushi?
Vipi ile saini iliyosemekana si ya Morrison, vyombo vya ulinzi waligundua nini?
Nahisi sakata hili linaweza kuja na mengi kuonesha udhaifu mkubwa wa viongozi wa mpira nchini.
Naomba kujua kisheria,je ni mapungufu yapi yanaweza kuchukuliwa ni ya kawaida na hivyo hata kama upande mmojawapo kati ya walioingia mkataba akawa hakuridhika analazimika tu kuutekeleza ukiwa na mapungufu hivyo hivyo?
Je TFF walikosea kuwabeba Yanga kwa kulibadili kosa la ku temper na mkataba kuwa mapungufu ya kimkataba tu?
Vipi nalala aliyokuwa nayo Morrison, imefanyiwa mabadiliko hayo yaliyoonekana mapungufu tu?
Kwa nini Yanga hawakuadhibiwa kwa kujaribu kudanganya kuhusu mkataba wa Morrison?
Ni kweli viongozi wa Yanga hawana wanasheria wa kuwaelewesha kuhusu masuala ya makosa ya kujaribu kughushi?
Vipi ile saini iliyosemekana si ya Morrison, vyombo vya ulinzi waligundua nini?
Nahisi sakata hili linaweza kuja na mengi kuonesha udhaifu mkubwa wa viongozi wa mpira nchini.