DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
[emoji23][emoji23][emoji23]
-Meneja wa habari na mawasiliano Simba SC Ahmedy Ally amesema kuwa kama watani zao Yanga wana mpango wa kutaka kumsajili beki wao Joash Onyango basi wajiandae kutoa pesa ya maana na wafirisike kabisa maana mchezaji huyo ni wa hadhi kubwa
Amesema @ahmedally_
"Huwezi kuwa Form Four (Kidato cha nne) halafu ukatamani darasa la 7.Tunaona taarifa za Joash Onyango [emoji1139] kuhusishwa Na Yanga [emoji617] niseme tu,mchezaji aliyecheza robo fainali mbili za CCL hawezi kwenda timu inayoishia hatua za awali,labda watoe pesa nyingi na wafilisike [emoji15]..
Cc @tanzania_football
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
-Meneja wa habari na mawasiliano Simba SC Ahmedy Ally amesema kuwa kama watani zao Yanga wana mpango wa kutaka kumsajili beki wao Joash Onyango basi wajiandae kutoa pesa ya maana na wafirisike kabisa maana mchezaji huyo ni wa hadhi kubwa
Amesema @ahmedally_
"Huwezi kuwa Form Four (Kidato cha nne) halafu ukatamani darasa la 7.Tunaona taarifa za Joash Onyango [emoji1139] kuhusishwa Na Yanga [emoji617] niseme tu,mchezaji aliyecheza robo fainali mbili za CCL hawezi kwenda timu inayoishia hatua za awali,labda watoe pesa nyingi na wafilisike [emoji15]..
Cc @tanzania_football
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app