Kama Yusuf Makamba aliongoza Dar es Salaam, Chalamila hawezi kushindwa

Kama Yusuf Makamba aliongoza Dar es Salaam, Chalamila hawezi kushindwa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mwacheni RC Chamalila aje Dar. Huyu mate namfahamu yupo vizuri na anajiamini sana tu.

Jiji la Dar miaka flani liliwahi kuongozwa na Yusuf Makamba. Akaweza tu. Itakuwa Chalamila?

Acheni maneno yenu. Chalamila anafaa na nitapendekeza aje haraka aanze kazi. Tuliongozwa na Yusuf Makamba itakuwa Chalamila? Ambaye ana akili nzuri tu.
 
Makamba alikuwa anaendesha dude kubwa linalo itwa CCM nchi nzima wakati Chalamila alikuwa mwalimu na muimba kwaya.
 
Back
Top Bottom