Kama Zitto Kabwe unaweza kununuliwa ukipewa nchi si utatupiga mnada?

Pia mashaka ya ni pale wanapotumia mita za Tanesco kukusanyia kodi, bado wanasema gharama za kuunganisha umeme zilikuwa ndogo!
Sasa hivi wanakusanya pesa bila kashkash na kujisifu makusanyo yameongezeka kumbe juhudi za akina Kalemani na JPM kuhakikisha nchi nzima inapata mwanga!
Shame on them
 
Mjinga Kama wewe tu ndo anaweza kuamini report za CAG,unadhani Kama mpango ni kumchafua JPM,mipango yao itaanzia wapi Kama siyo kwenye report za CAG,huyo Kichere anaelekezwa Cha kuandika tu we poyoyo
Kama alivyo kuwa anaelekeza mwenda zake
 
Asinge tuambia tunajenga kwa pesa zetu za ndani
 
Mpira unaendelea walinda legacy bado wamepaki basi hapa huku wachafua legacy bado wanashambulia kwa kasi sana japo wapo mbele kwa magoli
 
Akili yake ngumu kama sura lake. Alikopa tulizuona zikifanya kazi. Eti nae anautamani urais. Huyu mtu ni mpumbafu sana
 
Tangu Samia achukue nchi, sisikii tena watu wakihama mjini kwa kushindwa maisha, sisikii watu wakiishi kwa mlo mmoja na kuunganisha breakfast na lunch, sisikii Kariakoo na kwingineko maduka yakifungwa kwa kukosa wateja, sisikii makampuni makubwa kama TBL yakipunguza wafanya kazi kwa mamia kama ilivyokuwa siku za nyuma.
Sisikii wafanyakazi wa serikali wakilalamika.
Kimsingi nchi inakwenda vizuri tofauti na mlivyotuaminisha kwamba asipokuwepo fulani kila kitu kita doda!
Kifupi maza anaupiga mwingii!
 

Mfano Bwawa la umeme lingepunguza gharama za umeme kwa wote linapigwa danadana.

Tunaambiwa tatizo ni crane, repairs. Zitaishi baada ta wiki.

SSH yuko kimya kuhusu jambo hili muhimu. Angetembelea hapo kila mwezi wahuni wangeacha kuzipiga.

Unamtoa mchapakazi Kalemani unamuweka mpiga dili Makamba of course kila kitu kitasimama. Kutakuwa na visingizio tu.
 
Zitto akazikwe na mzoga wa mama yake.Kwanza Ni mdini,mkabila,mgoni.Mpenda visasi.Yaan ni mchafu wa kila kitu.Akawe Rais wa kibondo .
 
Hawa manyang'au na huyo mzazi wao soon mapigo yatakuja juu yao na vizazi vyao wanafanya yote hao wakifikiri kuwa wana akili sana lakini wajue kila wanalopanga litavurugwa kwa aibu na MUNGU Hatawaacha hawa mbwa mwitu wachezee watu wake. Na hii project ya kuchafua alama za kiongozi wetu Mh. J.P.M ilianza tangu akiwa hai mtoa taarifa wao ndo huyo wanaemtumikia sasa hao akina kabwela nyepesi Hata hicho chama cha kijani wajiandae kuvurugwa wakimwachia huyo MBEA afanye anavyotaka siasa zake kwa watu wanaoona mbali ni hatari zaidi kwa SISIEMU muda utaongea
 
Poor u kiroboto
 
Unaakili ndogo kama nyumbu
 
Kwa mara ya kwanza ndio nasikia maiti yenye nguvu kuliko walio hai[emoji23][emoji23][emoji23] naamini ingekuwa na huo uwezo ingejifufua
Kwani we huoni viroboto wanavyo hahaha kupambambana nae Amekufa kimwili kiroho yupo ndo maana amepata sauti za kujibu vinyago kama nyie
 
Alafu kumbuka ukitenda yaliyo mema hazitakuwepo nguvu yakulinda uliyoyatenda yatajilinda yenywe bila nguvu yoyote
Alitenda mema ila kuna viroboto kama wewe mmelipwa ili kuvuruga akili za wtz kwa sisi tunatetea mema yake maana hayupo na hatutegemei hisani yoyote maana hayupo kimwili
 
Je kama CAG kahongwa na wahuni wamchafue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…