Kamaanisha alichoimba, sio fake: DOGO JANJA: IMANI

fanya makosa yote duniani usikosee kuoa au kuolewa bora upate zero kwa masomo yani ukimistake kuoa au kuolewa basi ujue utayumba kiimani,maendeleo,akili na mengine mengi duuh tuombe Mungu sana katika hili...pole ake janjaroo
 
We mwanamke kila anapoenda yupo peke yake,kila anaposafiri yupo peke yake ndio nini sasa maana ya kuishi watu wawili
 
Bado tutasikia mengi kuhusu Janja na huyo mama.

Ile ndoa haikuwa ya upendo wa dhati.
Ilikuwa na lengo lingine kabisa.
 
Ujumbe mzuri ila idea ya video nyepesi sana na mwenyew hajavaa uhusika vzuri...nadhani kwenye 'nitarejea' diamond aliitendea haki ile character yake ya kuonyesha ugumu na magum anayopitia kuanzia mavazi hadi muonekano wake yey mwenyew. Ujumbe mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…