Kamala aacha Deni la bilioni 5 Tshs kwenye Kampeni ya urais

Kamala aacha Deni la bilioni 5 Tshs kwenye Kampeni ya urais

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Pamoja na kutumia matrilioni ya fedha kwenye kampeni zake, mgombea wa urais Kamala Harris ameacha Deni la Tshs Bilioni 5. Kiasi kikubwa kilikopwa kwaajili ya kulipia watu maarufu waweze kumpigia kampeni Kamala na kuvutia mashabiki wao wamchague Kamala. Mfano, Oprah Winfrey, Eminem, Usher, Taylor Swift, Lebron James, the Avengers etc .

Kwa Sasa Democrats wanalaumiana ilikuwaje walichangisha kiasi kikubwa Cha pesa kwaajili ya kampeni kuliko Republicans lakini hao Republicans wamewaahinda na kubaki na akina ya pesa ya michango ya kampeni huku democrats wakiangukia pua na kubaki na madeni.

Swali linakuja, Kama Kamala ameshindwa kusimamia pesa za kampeni je angeweza kusimamia uchumi wa marekani?.
 
Ufisadi uko kila mahali, kama angeshinda tusingesikia hili deni. Lingelipwa juu kwa juu.

Halafu nilidhani wasanii wanamuunga mkono kwa mapenzi yao wenyewe kumbe wanalamba asali?
Hata wa hapa kwetu nao hawafanyagi bure. Unalikumbuka sakata la Wema Sepetu baada ya kushutumiwa issue zile naniliu na gavana wa Daslam wakati ule? Alizungumzia habari ya wao kama wasanii kuzurumiwa pesa za kampeni so is the same
 
Ufisadi uko kila mahali, kama angeshinda tusingesikia hili deni. Lingelipwa juu kwa juu.

Halafu nilidhani wasanii wanamuunga mkono kwa mapenzi yao wenyewe kumbe wanalamba asali?

Kweli kabisa.
 
Hata wa hapa kwetu nao hawafanyagi bure. Unalikumbuka sakata la Wema Sepetu baada ya kushutumiwa issue zile naniliu na gavana wa Daslam wakati ule? Alizungumzia habari ya wao kama wasanii kuzurumiwa pesa za kampeni so is the same

Wasanii watanzania wanalipwa pesa nyingi sana wakati wa kampeni.
 
Ufisadi uko kila mahali, kama angeshinda tusingesikia hili deni. Lingelipwa juu kwa juu.

Halafu nilidhani wasanii wanamuunga mkono kwa mapenzi yao wenyewe kumbe wanalamba asali?
duniani cha bure ni hasad tu, maana hata salamu inatozwa siku hizi.
 
Tsh billion 5 ni ruzuku ya CCM kwa miezi 5 tu 😂😂

Ngoja niichenji Kwenye US Dollars
 
Back
Top Bottom