Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Makamu wa Rais wa Marekani ambaye alikuwa Mgombea Urais wa Marekani 2024 aliyeshindwa dhidi ya Rais Mteule Donald Trump, amempigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi kitendo kinachoashiria amekubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi.
Pia, Soma:
• Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
• Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kamala amempigia Trump kumpongeza na wameongea pia kuhusu mchakato wa kukabidhi madaraka kwa amani na umuhimu wa Trump kuwa Rais wa Wamarekani wote bila kujali tofauti ya Vyama au Itikadi.
Kambi ya kampeni ya Trump imepongeza alichokifanya Kamala wakisema ni ukomavu wa kisiasa.
Kamala ametoa hotuba ya kukubali kushindwa na mstakabali wa Serikali katika Chuo Kikuu cha Howard.
Pia, Soma:
• Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
• Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%
Kamala amempigia Trump kumpongeza na wameongea pia kuhusu mchakato wa kukabidhi madaraka kwa amani na umuhimu wa Trump kuwa Rais wa Wamarekani wote bila kujali tofauti ya Vyama au Itikadi.
Kambi ya kampeni ya Trump imepongeza alichokifanya Kamala wakisema ni ukomavu wa kisiasa.
Kamala ametoa hotuba ya kukubali kushindwa na mstakabali wa Serikali katika Chuo Kikuu cha Howard.