Makamu wa Rais wa Marekani ambaye alikuwa Mgombea Urais wa Marekani 2024 aliyeshindwa dhidi ya Rais Mteule Donald Trump, amempigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi kitendo kinachoashiria amekubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi.
Kamala Ameonyesha kukomaa kisiasa na uelewa wa demokrasia.
Moja ya misingi mikuu ya demokrasia ni pamoja na kukubali kushindwa na kuwa tayari kukabidhi madaraka kwa kiongozi mpya aliechaguliwa kihalali na wapiga kura wanojitambua.
Makamu wa Rais wa Marekani ambaye alikuwa Mgombea Urais wa Marekani 2024 aliyeshindwa dhidi ya Rais Mteule Donald Trump, amempigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi kitendo kinachoashiria amekubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi.
Nafkiri Samia akishindwa atampigia simu mbowe ama Tundu lissu kumpongeza, huyu ni mwanamke mwenzake amekubali matokeo bila ya hila zozote, anaumia lakini amejikaza huwezi ona tofauti