Kamala Harris asheherekea kifo cha Yahya Sinwar. Asema Marekani na dunia itakuwa sehemu salama zaidi bila uwepo wake!

Kamala Harris asheherekea kifo cha Yahya Sinwar. Asema Marekani na dunia itakuwa sehemu salama zaidi bila uwepo wake!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana Kamala Harris leo atafanya sherehe kwani muda mchache uliopita ametoa tamko mara baada ya kiongozi wa Hamas Yahaya Sinwar kuuwawa.

Katika tamko lake Kamala amesema kuwa dunia itakuwa ni sehemu nzuri zaidi ya kuishi mara baada ya Sinwar kuuwawa.

Nasubiri kuona kama Trump nae atatoa tamko.

Soma Pia

Alafu FaizaFoxy yuko wapi? Kwanini simuoni humu akichangia mada za kifo cha Sinwar?

Atakayekutana nae kwenye uzi wowote humu jukwaani anitag!

hARRS.png


Source: ABC News
 
Wakuu,

Inaonekana Kamala Harris leo atafanya sherehe kwani muda mchache uliopita ametoa tamko mara baada ya kiongozi wa Hamas Yahaya Sinwar kuuwawa.

Katika tamko lake Kamala amesema kuwa dunia itakuwa ni sehemu nzuri zaidi ya kuishi mara baada ya Sinwar kuuwawa.

Nasubiri kuona kama Trump nae atatoa tamko.

Soma pia

Alafu FaizaFoxy yuko wapi? Kwanini simuoni humu akichangia mada za kifo cha Sinwar?

Atakayekutana nae kwenye uzi wowote humu jukwaani anitag!

View attachment 3128203

Source: ABC News
Bila kutangaziwa na Hamas zinabaki kuwa habari nusu tu.
 
Dunia itakuwa salama kama Marekani itaacha kushobokea vita, kusambaza silaha, kutamani na kupora rasilimali na maliasili za nchi zingine(Iraq, Kuwait, DRC) kuacha kuingilia siasa za nchi zingine (Venezuela) kisa wanataka mali zao....
 
Wewe upo hapo kibarazani vingunguti una kuna nazi na kibao cha mbuzi..
Mazayuni hata wakisema nini siwaamini. Siyo mara yao ya kwanza kutangaza uongo na vifo vya uongo.

Bila Hamas kutangaza kifo cha yeyote yule wa Hamas, bado inakuwa ni propaganda tu.
 
Back
Top Bottom