Kamala Harris kuchaguliwa Rais wa 47 wa America, ni ukweli usiopingika kwa sasa

Kamala Harris kuchaguliwa Rais wa 47 wa America, ni ukweli usiopingika kwa sasa

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr.

Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau kuzungumzia issues. Mbaya zaidi Trump amemchagua Veep candidate ambaye pia ana misimamo yenye utata kwa wamarekani kuhusu abortion na voting rights.

Kamala ni mtoto wa mjini akiwa kapitia maisha fulani yanayomfanya aweze jichanganya na vijana na hasa Gen Z; yuko maarufu sana kwa Gen Z. and the lady can talk, when you pitch her against an opponent in a debate.

Hata ingawa wajuzi wa masuala ya kisiasa hawamuamini sana as Commander in Chief, hasa ukizingatia, wanasema huchekacheka hovyo hata kwa vitu trivial. Kamala Harris is a Palestine symphasizer, jambo linalo resonate na Arab Americans alipokuwa Michigan ame hint kuiwekea vikwazo Israel
Ninaamini kabisa Kamala atashinda kwa sababu zifuatazo:

1. Strength ya Trump ilikuwa Udhaifu binafsi wa Biden kutokana na Umri

2. Maandamano mengi ya Vijana wa Universities ambao ni matokeo ya Antifa na Muslim brotherhood brain washing

3. Majimbo ambayo Wamarekani huyaita swing states, baadhi yao kwa sasa hivi yako na Waislamu wengi. Minnesota (Somalis), Michigan (Arabs & Palestinians) Pennsylvania

4. Kuna wimbi la vyama vya Mrengo wa kushoto huko nchi za magharibi kushika madaraka. Huko Spain (socialist party) France, Rais Macron chama chake, Renaissance ni centrist/Liberal lakini uchaguzi wa Karibuni wa Bunge ni Socialists ndiyo wameshinda na hivyo ndiyo wanatakiwa kuchukua nafasi ya Waziri Mkuu (Anayeendesha Serikali).

Huko UK chama cha Labour chenye mrengo wa kisocialist ndiyo kwa sasa kiko madarakani. Kwa ujumla hivi vyama vya Kisoshalisti havina record nzuri na kanisa
 
Uongozi uliopo umepoa sana, anatakiwa Trump ili kuleta hamsha hamsha
 
Ukiangalia hiyo wave ya vyama vya mrengo wa kushoto kushika madaraka huko nchi za magharibi na track record yao na kanisa, hiyo inamaanisha wakristo wa huko wategemee machungu. Hata jews usalama wao uko mashakani. Mbaya zaidi interests za wakiristo wa nchi za ulaya inakuwa vigumu sana kuzitofautisha na interest za white supremacists (Wale wanaokuwa labelled Far Right). Tunashuhudia urafiki wa karibu kati ya serikali hizi za mrengo wa kisocialists na islamists. Ninachoweza sema ni kuwa urafiki huu utakuwa mchungu hivi karibuni, kwakuwa Agenda ya Islamists iko pale pale- kuanzisha Sharia Law & Islamic Caliphate in the west and ultimately the whole world. Serikali hizi za kisocialists zitakapo ng'amua hilo hapo ndiyo utakuwa mwisho wa urafiki huo. Lakini ili zisionekane zinapendele upande mmoja Serikali hizo pamoja na serikali nyingine za Dunia zitaamua kupiga Dini marufuku na kuzuia utendaji wake. Hapo ndipo moto utawaka kutoka kwa hao marafiki zao na vurugu kuongezeka
 
Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr. Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau kuzungumzia issues. Mbaya zaidi Trump amemchagua Veep candidate ambaye pia ana misimamo yenye utata kwa wamarekani kuhusu abortion na voting rights. Kamala ni mtoto wa mjini akiwa kapitia maisha fulani yanayomfanya aweze jichanganya na vijana na hasa Gen Z; yuko maarufu sana kwa Gen Z. and the lady can talk, when you pitch her against an opponent in a debate. Hata ingawa wajuzi wa masuala ya kisiasa hawamuamini sana as Commander in Chief, hasa ukizingatia, wanasema huchekacheka hovyo hata kwa vitu trivial. Kamala Harris is a Palestine symphasizer, jambo linalo resonate na Arab Americans alipokuwa Michigan ame hint kuiwekea vikwazo Israel
Ninaamini kabisa Kamala atashinda kwa sababu zifuatazo:
1. Strength ya Trump ilikuwa Udhaifu binafsi wa Biden kutokana na Umri
2. Maandamano mengi ya Vijana wa Universities ambao ni matokeo ya Antifa na Muslim brotherhood brain washing
3. Majimbo ambayo Wamarekani huyaita swing states, baadhi yao kwa sasa hivi yako na Waislamu wengi. Minnesota (Somalis), Michigan (Arabs & Palestinians) Pennsylvania
4. Kuna wimbi la vyama vya Mrengo wa kushoto huko nchi za magharibi kushika madaraka. Huko Spain (socialist party) France, Rais Macron chama chake, Renaissance ni centrist/Liberal lakini uchaguzi wa Karibuni wa Bunge ni Socialists ndiyo wameshinda na hivyo ndiyo wanatakiwa kuchukua nafasi ya Waziri Mkuu (Anayeendesha Serikali). Huko UK chama cha Labour chenye mrengo wa kisocialist ndiyo kwa sasa kiko madarakani. Kwa ujumla hivi vyama vya Kisoshalisti havina record nzuri na kanisa
Tafuta hela ya kula
 
Hayo mambo ya sharia yataisha tu ndani ya karne hii kwani ukiangalia vizuri kinachotokea sasa hivi hata hapa Tanzania ni kwamba ile shauku au mori na mambo ya imani za dini unaenda unapungua kila uchao na hivi ndivyo ilivyoanza hata huko Ulaya na Marekani.

Hii inatokana na ukweli kwamba katika hali ngumu ya kimaisha ambayo jamii nyingi zinapitia wamegundua kwamba dini sio mwarobaini wa hayo matatizo tofauti na wanavyo aminishwa na watu wa imani za kidini.

Na ndio maana asilimia kubwa ya kizazi cha sasa hakijihangaishi sana na mambo ya dini na badala yake kinajihangaisha zaidi na namna gani kitajitengenezea mustakbali mwema wa kimaisha.

Kila nikitembea nchini hiyo hali ndio nanayoiona, watu wako busy na kujitafutia maisha bora kuliko kuhangaika na mambo ya dini japo wengi wanakiri kwamba Mungu yupo.
 
Katika Taifa la marekani lolote laweza kutokea maana kama shoga alitifuliwa live juu ya meza katika moja ya ofisi za mjengoni (white house), na hakuna kesi, basi tutegemee lolote lile kutokea.
 
Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr.

Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau kuzungumzia issues. Mbaya zaidi Trump amemchagua Veep candidate ambaye pia ana misimamo yenye utata kwa wamarekani kuhusu abortion na voting rights.

Kamala ni mtoto wa mjini akiwa kapitia maisha fulani yanayomfanya aweze jichanganya na vijana na hasa Gen Z; yuko maarufu sana kwa Gen Z. and the lady can talk, when you pitch her against an opponent in a debate.

Hata ingawa wajuzi wa masuala ya kisiasa hawamuamini sana as Commander in Chief, hasa ukizingatia, wanasema huchekacheka hovyo hata kwa vitu trivial. Kamala Harris is a Palestine symphasizer, jambo linalo resonate na Arab Americans alipokuwa Michigan ame hint kuiwekea vikwazo Israel
Ninaamini kabisa Kamala atashinda kwa sababu zifuatazo:

1. Strength ya Trump ilikuwa Udhaifu binafsi wa Biden kutokana na Umri

2. Maandamano mengi ya Vijana wa Universities ambao ni matokeo ya Antifa na Muslim brotherhood brain washing

3. Majimbo ambayo Wamarekani huyaita swing states, baadhi yao kwa sasa hivi yako na Waislamu wengi. Minnesota (Somalis), Michigan (Arabs & Palestinians) Pennsylvania

4. Kuna wimbi la vyama vya Mrengo wa kushoto huko nchi za magharibi kushika madaraka. Huko Spain (socialist party) France, Rais Macron chama chake, Renaissance ni centrist/Liberal lakini uchaguzi wa Karibuni wa Bunge ni Socialists ndiyo wameshinda na hivyo ndiyo wanatakiwa kuchukua nafasi ya Waziri Mkuu (Anayeendesha Serikali).

Huko UK chama cha Labour chenye mrengo wa kisocialist ndiyo kwa sasa kiko madarakani. Kwa ujumla hivi vyama vya Kisoshalisti havina record nzuri na kanisa
Andiko la kisomi 100%. Hongera mleta mada
 
Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr.

Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau kuzungumzia issues. Mbaya zaidi Trump amemchagua Veep candidate ambaye pia ana misimamo yenye utata kwa wamarekani kuhusu abortion na voting rights.

Kamala ni mtoto wa mjini akiwa kapitia maisha fulani yanayomfanya aweze jichanganya na vijana na hasa Gen Z; yuko maarufu sana kwa Gen Z. and the lady can talk, when you pitch her against an opponent in a debate.

Hata ingawa wajuzi wa masuala ya kisiasa hawamuamini sana as Commander in Chief, hasa ukizingatia, wanasema huchekacheka hovyo hata kwa vitu trivial. Kamala Harris is a Palestine symphasizer, jambo linalo resonate na Arab Americans alipokuwa Michigan ame hint kuiwekea vikwazo Israel
Ninaamini kabisa Kamala atashinda kwa sababu zifuatazo:

1. Strength ya Trump ilikuwa Udhaifu binafsi wa Biden kutokana na Umri

2. Maandamano mengi ya Vijana wa Universities ambao ni matokeo ya Antifa na Muslim brotherhood brain washing

3. Majimbo ambayo Wamarekani huyaita swing states, baadhi yao kwa sasa hivi yako na Waislamu wengi. Minnesota (Somalis), Michigan (Arabs & Palestinians) Pennsylvania

4. Kuna wimbi la vyama vya Mrengo wa kushoto huko nchi za magharibi kushika madaraka. Huko Spain (socialist party) France, Rais Macron chama chake, Renaissance ni centrist/Liberal lakini uchaguzi wa Karibuni wa Bunge ni Socialists ndiyo wameshinda na hivyo ndiyo wanatakiwa kuchukua nafasi ya Waziri Mkuu (Anayeendesha Serikali).

Huko UK chama cha Labour chenye mrengo wa kisocialist ndiyo kwa sasa kiko madarakani. Kwa ujumla hivi vyama vya Kisoshalisti havina record nzuri na kanisa
Katika kufikiri kwa kawaida huyu mgombea hana uwezo wa kuongoza Taifa hili kubwa, tena mbaya zaidi wakati huu ambapo COLD WAR IMERUDI in full swing. Atazidi kuifanya US kuwa weak. Ila muda ukifika kwa mambo fulani kutimia kwa huu Ulimwengu tunaoishi, hamna wa kuzuia. Kwani Wamarekani hata wale ambao ni Republican kindakindaki (Dick Cheney and Arnold Schwarzenegger) wamejikuta "between a Rock and a Hard Place". Kwani Trump naye ni " Unhinged" hivyo wakaamua ni bora waende tu na Kamala Harris. Pia tukumbuke tu mwenye kumiliki hizi himaya zote za kiserikali duniani, na anasema humpa yule amtakaye yeye.
Uchaguzi wa 2024 huko US, wajuzi wanasema kuwa it's the Most Consequential election ever happened.
Mm Si muamini wa Ati Israel kwa sasa ni Taifa Teule la Mungu! Lakini, naamini kabisa Mungu wa Kweli, anayeijua historia ya jamii ya wanadamu kiundani kabisa, Mungu yule aliyeona mienendo ya wanadamu toka ameumba hii dunia hatawatupa wayahudi ambao anajua fika aliwapa the holy land. Na pia ameona kuwa wamekubali kuishi miongoni mwao na jamii nyingine ya wanadamu wapatao 2,000,000 ambao kiukweli walihamia hapo wakiwa majihadists wa mtume Mohammad. Huko USA yeyote atakaechukua Urais asijekujifanya yeye ndiye mwokozi wa Israel kwani mungu atapalinda pale dhidi ya yeyote anayetaka kufutilia mbali jamii ya wayahudi, na pia dhidi ya yeyote hila ovu za kufutilia mbali historia yeye kuweka misingi ya Dini ya Kikiristo.
Hata hivyo ijulikane wazi kuwa kabla ya kupambazuka lazima kupitia usiku wa manane. Kipindi tuendacho inaelekea kitakuwa usiku wa manane, kigumu sana kwa Israel na Wakristo katika nchi za Magharibi kihususa. Itaweza kuonekana kana kwamba Allah anashinda! Lakini Mungu wa Kweli anasema VITA HIYO SIYO YENU NI YANGU- MSIHOFU" 2CHRONICLES 20:15
VERY VERY EXCITING TIMES ARE AHEAD OF US WITH KAMALA'S REIGN. HUYO HUYO ATAWAGEUKA MUSLIM BROTHERHOODS
 
Wamarekani walishuhudia kasi aliyokuwa nayo Trump ya kushinda Urais, wakati mgombea wa Democrat alipokuwa Joseph Robinette Biden Jr.

Kuingia kwa Kamala Harris kumebadili kabisa mwelekeo; hasa ukizingatia kuwa Trump alikuwa anakazia udhaifu binafsi wa Biden kutokana na umri, na akajisahau kuzungumzia issues. Mbaya zaidi Trump amemchagua Veep candidate ambaye pia ana misimamo yenye utata kwa wamarekani kuhusu abortion na voting rights.

Kamala ni mtoto wa mjini akiwa kapitia maisha fulani yanayomfanya aweze jichanganya na vijana na hasa Gen Z; yuko maarufu sana kwa Gen Z. and the lady can talk, when you pitch her against an opponent in a debate.

Hata ingawa wajuzi wa masuala ya kisiasa hawamuamini sana as Commander in Chief, hasa ukizingatia, wanasema huchekacheka hovyo hata kwa vitu trivial. Kamala Harris is a Palestine symphasizer, jambo linalo resonate na Arab Americans alipokuwa Michigan ame hint kuiwekea vikwazo Israel
Ninaamini kabisa Kamala atashinda kwa sababu zifuatazo:

1. Strength ya Trump ilikuwa Udhaifu binafsi wa Biden kutokana na Umri

2. Maandamano mengi ya Vijana wa Universities ambao ni matokeo ya Antifa na Muslim brotherhood brain washing

3. Majimbo ambayo Wamarekani huyaita swing states, baadhi yao kwa sasa hivi yako na Waislamu wengi. Minnesota (Somalis), Michigan (Arabs & Palestinians) Pennsylvania

4. Kuna wimbi la vyama vya Mrengo wa kushoto huko nchi za magharibi kushika madaraka. Huko Spain (socialist party) France, Rais Macron chama chake, Renaissance ni centrist/Liberal lakini uchaguzi wa Karibuni wa Bunge ni Socialists ndiyo wameshinda na hivyo ndiyo wanatakiwa kuchukua nafasi ya Waziri Mkuu (Anayeendesha Serikali).

Huko UK chama cha Labour chenye mrengo wa kisocialist ndiyo kwa sasa kiko madarakani. Kwa ujumla hivi vyama vya Kisoshalisti havina record nzuri na kanisa
Bado uko na hii opinion?
 
Kete pekee inayoonekana kumbeba Trump kuliko kitu kingine ni sera yake dhidi ya wahamiaji haramu. Wamarekani wamechoka na wazamiaji.
 
Back
Top Bottom