Kamala Harris ndiye Rais wa Marekani 2024. Mashine za kura zimedukuliwa, Maharamia watapiga kura

Kamala Harris ndiye Rais wa Marekani 2024. Mashine za kura zimedukuliwa, Maharamia watapiga kura

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1730468928830.png


Rais anachaguliwa kwenye kura na kwa hali ilivyo computer zinazotumika kupiha kura zimeonyesha kuwa na hirilafu inayompa kura nyingi zaidi Kamala, uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani.

Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye computer za kupiga kura lakini jambo la kushangaza ni kwamba hitilafu zote ziliongeza kura za Democrats

Katika uchunguzi wa mashine za kupigia kura, Wataalam wamegundua kuna hitilafu kwenye mashine, Katika mazingira yanayoendelea kuchunguzwa kuna hitilafu ya wapiga kura kutaweza kumchagua Trump na hitilafu nyingine ya kura kujipiga kwa Kamala unapomchagua Trump



Majimbo 15 hutakiwi kupiga kura kwa kitambulisho chochote kile, hii itawezesha maharamia takribani milioni 20 walioingia awamu ya Biden kupiga kura kwa Kamala kwa hofu ya kufukuzwa nchini humo na Trump alieapa kuwafukuza

1730466412056.png
 
Rais anachaguliwa kwenye kura na mfumo mzima wa kura umeingiliwa kuwabeba zaidi Democrats, chama cha Harris, Kuna uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani.

Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye mashine za kupiga kura lakini jambo la kushangaza ni kwamba hitilafu zote ziliongeza kura za Democrats

Katika uchunguzi wa mashine za kupigia kura, Wataalam wamegundua kuna tundu limewekwa kwenye mashine, Katika mazingira yanayoendelea kuchunguzwa wapiga kura hawataweza kumchagua Trump na wakilazimisha kura inaenda kwa Kamala

View attachment 3140676

Majimbo 15 hutakiwi kupiga kura kwa kitambulisho chochote kile, hii itawezesha maharamia takribani milioni 20 walioingia awamu ya Biden kupiga kura kwa Kamala kwa hofu ya kufukuzwa nchini humo na Trump alieapa kuwafukuza

View attachment 3140677
Mimi naomba iwe vile sababu Trump aanzishe vita vya wao kwa wao ili tumpoteze US hana faida. US ndio balaa yote duniani kila kwenye vita upo mkono wa US.
 
Democrats ni wezi sana.
Democrats wameingiza maharamia milioni 20 kimkakati, ni mtaji wa kura kwenye majimbo yao waliyoondoa sheria ya kujitaji vitambulisho ili kupiga kura
 
Mimi naomba iwe vile sababu Trump aanzishe vita vya wao kwa wao ili tumpoteze US hana faida. US ndio balaa yote duniani kila kwenye vita upo mkono wa US.
Ajabu ni kwamba awamu ya Trumo dunia angalau ilipumua, hakuanzisha wala kufadhili vita kama kina Bush - Iraq, Obama - Libya, Biden - Ukraine. na jambo lingine ni kwamba Putin na Iran walitulia, hizi fujo wameanza baada ya Trump kuondoka, Iran ilifulia sana lakini baada ya Biden kuingia ikulu wamemuona mdoli wamekiuka vikwazo wanauza mapipa milioni kila siku.
 
Blah blah tupu, USA sio Tz ambako wanaCCM wanaweza kubakana barabarani.
Hata Marekani kuna wizi wa Kura, Majimbo 15 unachotakiwa kupeleka ni mwili wako kupiga kura, hawaruhusu vitambulisho, Maharamia wanaweza kupiga kura
 
Taarifa za facebook
Rais anachaguliwa kwenye kura na mfumo mzima wa kura umeingiliwa kuwabeba zaidi Democrats, Kuna uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani.

Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye mashine za kupiga kura lakini jambo la kushangaza ni kwamba hitilafu zote ziliongeza kura za Democrats

Katika uchunguzi wa mashine za kupigia kura, Wataalam wamegundua kuna hitilafu kwenye mashine, Katika mazingira yanayoendelea kuchunguzwa kuna hitilafu ya wapiga kura kutaweza kumchagua Trump na hitilafu nyingine ya kura kujipiga kwa Kamala unapomchagua Trump

View attachment 3140676

Majimbo 15 hutakiwi kupiga kura kwa kitambulisho chochote kile, hii itawezesha maharamia takribani milioni 20 walioingia awamu ya Biden kupiga kura kwa Kamala kwa hofu ya kufukuzwa nchini humo na Trump alieapa kuwafukuza

View attachment 3140677
 
Hata Marekani kuna wizi wa Kura, Majimbo 15 unachotakiwa kupeleka ni mwili wako kupiga kura, hawaruhusu vitambulisho, Maharamia wanaweza kupiga kura
Wapi kwingine kuna wizi wa kura??
 
Uongo mtupu, Marekani wanatumia paper ballots
 
Uongo mtupu, Marekani wanatumia paper ballots
Wanapiga kura kwa computer, mfumo wa computer umebainika kuwa na hitilafu

Majimbo haya 15 hayahitaji uwe na kitambulisho chocote kupiga kura, maharamia wanaweza kupiga kura

1730468776606.png
 
Ambayo hawahitaji kitambulisho, wanatumia fomu ya usajili ya mpiga kura.
Kwanini visihitajike vitambulisho ? ni mkakati wa kurahisisha wizi wa kura

maharamia watapiga kura hawawezi kumchagua Trump alieapa kuwafukuza
 
View attachment 3140706

Rais anachaguliwa kwenye kura na kwa hali ilivyo computer zinazotumika kupiha kura zimeonyesha kuwa na hirilafu inayompa kura nyingi zaidi Kamala, uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani.

Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye computer za kupiga kura lakini jambo la kushangaza ni kwamba hitilafu zote ziliongeza kura za Democrats

Katika uchunguzi wa mashine za kupigia kura, Wataalam wamegundua kuna hitilafu kwenye mashine, Katika mazingira yanayoendelea kuchunguzwa kuna hitilafu ya wapiga kura kutaweza kumchagua Trump na hitilafu nyingine ya kura kujipiga kwa Kamala unapomchagua Trump

View attachment 3140676

Majimbo 15 hutakiwi kupiga kura kwa kitambulisho chochote kile, hii itawezesha maharamia takribani milioni 20 walioingia awamu ya Biden kupiga kura kwa Kamala kwa hofu ya kufukuzwa nchini humo na Trump alieapa kuwafukuza

View attachment 3140677
DUniani hakuna haki trump anakubalika sana marekani ila hadi maafisa usalama wa marekani na viongozi wastaafu wa marekani hadi wa chama chake hawamtaki ,wanaamini ataiweka marekani hatarini
Ila nachokiona trump ni kichaa na michezo ya kinafki huwa hapendi ,ingawa ndio inayofanya marekani iwe super power hadi leo, wewe unakuwaje na urafiki na adui wa marekani kama putin
Wenzake waliweka wanajeshi middle east kwa kazi ya kulinda maslahi ya marekani, yeye kawaondoa
Watamuibia kura akose
Juzi hadi watu waliofanya nae kazi ikulu wamemkataa ingawa wa chama chake
 
DUniani hakuna haki trump anakubalika sana marekani ila hadi maafisa usalama wa marekani na viongozi wastaafu wa marekani hadi wa chama chake hawamtaki ,wanaamini ataiweka marekani hatarini
Ila nachokiona trump ni kichaa na michezo ya kinafki huwa hapendi ,ingawa ndio inayofanya marekani iwe super power hadi leo, wewe unakuwaje na urafiki na adui wa marekani kama putin
Wenzake waliweka wanajeshi middle east kwa kazi ya kulinda maslahi ya marekani, yeye kawaondoa
Watamuibia kura akose
Juzi hadi watu waliofanya nae kazi ikulu wamemkataa ingawa wa chama chake
Wazee wengi waasisi wa kuijenga Marekani wanaamini ili nchi iendelee kuwa superpower ni lazima iwe Pro War, Kuanzisha vita, kufadhili vita, n.k.

Trump yupo tofauti sana, kipindi chake hakuanzisha wala kufadhili vita kama Bush - Iraq, Obama - Libya, Biden - Ukraine. nchi nyingi duniani zimeanza fujo baada ya Trump kuondoka.

Walitaka kumfunga ikashindikana, walitaka kumfilisi ikashindikana, kumchafua ikashindikana, ndio maana wanajaribu kumuua
 
Mkuu unazungumzia kura zipi hasa? Popular vote au electrol vote?
Kama ni popular vote no wazi Kamala Harris atamzidi trump bila kuhitaji msaada wa udukuzi.
Lakini cha Msingi electrol vote ndiyo huamua nani awe Rais na huko trump ana uhakika
 
Wazee wengi waasisi wa kuijenga Marekani wanaamini ili nchi iendelee kuwa superpower ni lazima iwe Pro War, Kuanzisha vita, kufadhili vita, n.k.

Trump yupo tofauti sana, kipindi chake hakuanzisha wala kufadhili vita kama Bush - Iraq, Obama - Libya, Biden - Ukraine. nchi nyingi duniani zimeanza fujo baada ya Trump kuondoka.

Walitaka kumfunga ikashindikana, walitaka kumfilisi ikashindikana, kumchafua ikashindikana, ndio maana wanajaribu kumuua
Ni kweli upo sahihi
 
Kuna jamaa yangu yupo west virginia kaniambia kuna sarakasi za ajabu. Akanitumia hiyo clip aliyoweka mleta mada. Kaniambia Trump atashinda ila lolote laweza kutokea kwa sababu ya itilafu kwenye computer au niseme mfumo.
Mambano ni mkali balaa
 
Kwanini visihitajike vitambulisho ? ni mkakati wa kurahisisha wizi wa kura

maharamia watapiga kura hawawezi kumchagua Trump alieapa kuwafukuza
Wewe kilaza kwa zaidi ya miaka 200 Wamarekani wamekuwa wanapiga kura bila hivyo vitambulisho, usivamie mambo tu na kujitutumua kwa propaganda za mitandaoni ukiwa huko kwenu sijui Tukuyu au wapi.
 
View attachment 3140706

Rais anachaguliwa kwenye kura na kwa hali ilivyo computer zinazotumika kupiha kura zimeonyesha kuwa na hirilafu inayompa kura nyingi zaidi Kamala, uwezekano mkubwa zaidi Kamala Harris awe rais wa 47 wa Marekani.

Ikumbukwe hata uchaguzi wa 2020 kuna hitilafu zilitokea kwenye computer za kupiga kura lakini jambo la kushangaza ni kwamba hitilafu zote ziliongeza kura za Democrats

Katika uchunguzi wa mashine za kupigia kura, Wataalam wamegundua kuna hitilafu kwenye mashine, Katika mazingira yanayoendelea kuchunguzwa kuna hitilafu ya wapiga kura kutaweza kumchagua Trump na hitilafu nyingine ya kura kujipiga kwa Kamala unapomchagua Trump

View attachment 3140676

Majimbo 15 hutakiwi kupiga kura kwa kitambulisho chochote kile, hii itawezesha maharamia takribani milioni 20 walioingia awamu ya Biden kupiga kura kwa Kamala kwa hofu ya kufukuzwa nchini humo na Trump alieapa kuwafukuza

View attachment 3140677
Rudi hapa usome utumbo wako!! AIBU
 
Back
Top Bottom