Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM DSM SACP LAZARO MAMBOSASA.
Aonya vuguvungu la watu wanaohamasisha mgomo wa madereva na wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani.
Kamanda amesema wananchi kesho waendelee na shughuli zao kama kawaida na asb askari watakuwepo ili kuhakikisha suala la usafiri halivurugiki kwa namna yeyote ile na wale wote wanaohamasisha msako mkali unafanyika ili kuwakamata wale wote wanaoshawishi na kupanga mipango ya mgomo huo na kusimamisha uchumi wa nchi
Madereva na Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani wanepanga kufanya mgomo kutokana na dereva aliyefariki mikononi mwa polisi Mbeya. Tukio ambalo polisi wamesema wanafanyia uchunguzi
Aonya vuguvungu la watu wanaohamasisha mgomo wa madereva na wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani.
Kamanda amesema wananchi kesho waendelee na shughuli zao kama kawaida na asb askari watakuwepo ili kuhakikisha suala la usafiri halivurugiki kwa namna yeyote ile na wale wote wanaohamasisha msako mkali unafanyika ili kuwakamata wale wote wanaoshawishi na kupanga mipango ya mgomo huo na kusimamisha uchumi wa nchi
Madereva na Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani wanepanga kufanya mgomo kutokana na dereva aliyefariki mikononi mwa polisi Mbeya. Tukio ambalo polisi wamesema wanafanyia uchunguzi