Kwa hiyo hao wauliza maswali ni polisi na badala ya kumuwahisha kwenye matibabu wao ni interview tu? Bado sijaamini kwamba ndipo uwezo wetu wa kufikiri ndipo ulipogota…bado sana.Hao wanaomuuliza hapo siyo raia kabisa. Hao ni polisi na ndiyo waiomuokoa.
Msidanganye watu.
Wasikilize vizuri, wameongelea hilo la hospitali.Kwa hiyo hao wauliza maswali ni polisi na badala ya kumuwahisha kwenye matibabu wao ni interview tu? Bado sijaamini kwamba ndipo uwezo wetu wa kufikiri ndipo ulipogota…bado sana.
Kiongozi, kuhusu chadema utafanya busara kubwa ukikaa kimya tu. Ni watu wa hovyo sana.......mapinga Pinga tu muda wote.Kwani we umejuaje kuwa hao siyo maafande,msipende kubishabisha vitu msivyovijua
Ww fuatilia hayo ya nchi kuporwa, acha wengine wafuatilie ya Sativa.Tunamezwa na taarifa za kina SATIVA nchi inaporwa kinyama,tumekuwa watu wa matukio kila uchao, pathetic
Hamna wajinga wa hivyo siku hizi boss. We kaa kimya tu maana mna mbinu so outdated wakati kizazi kimebadilika.Kwani we umejuaje kuwa hao siyo maafande,msipende kubishabisha vitu msivyovijua
Hata kusingekuwa na hiyo video bado alikuwa hana ushahidi wa kutosha.Wakuu,
Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake?
Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini.
Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa na wananchi ambao ndio walimpeleka hospitali kupata matibabu.
Sasa leo wakati anazungumza na Chief Odemba, Kamanda Muliro amesema kuwa Jeshi La Polisi ndio lilimuokoa Sativa baada ya kukamatwa na wasiojulikana. Muliro alidokeza kuwa Jeshi La Polisi ndio lilihusika katika kumuokoa Sativa pindi alipotekwa.
"Sisi ndio tulimuokoa (Sativa) ndio maana sitaki kubishana. Sisi ndio tulimuokoa kule Katavi tukampeleka kituo cha Polisi. Sisi jukumu letu baada ya taarifa ile, tulimuokoa muhusika yule. Sasa kama unataka au hautaki sisi ndo tulimuokoa muhusika yule"
Ningependa kumaliza uzi wangu kwa kukumbusha maneno mazuri ya lugha kuwa "Ogopa sana Mungu na Teknolojia" maana kusingekuwa na hii clip leo taifa lote tungelishwa tango pori.
Nawasilisha!
Kwani hatuwezi kuongea hayo ya Sativa na ya nchi kuporwa kwa wakati mmoja?Tunamezwa na taarifa za kina SATIVA nchi inaporwa kinyama,tumekuwa watu wa matukio kila uchao, pathetic
Kati ya kuporwa na watu kutekwa na kuuwawa kipi cha kwanza kupiga vita??Tunamezwa na taarifa za kina SATIVA nchi inaporwa kinyama,tumekuwa watu wa matukio kila uchao, pathetic
Sawa mtetezi wa palestinaHao wanaomuuliza hapo siyo raia kabisa. Hao ni polisi na ndiyo waiomuokoa.
Msidanganye watu.
Uporaji wa rasilimali upo kwa carne kuanzia waarabu, wazungu, na sasa waliopo. Ila haki ya kuishi pia lazima ipiganiwe, itetewe na kulindwa.Tunamezwa na taarifa za kina SATIVA nchi inaporwa kinyama,tumekuwa watu wa matukio kila uchao, pathetic
Kuna Watu wana mapepo ya Uongo.Mlimuokoaje SATIVA wakati polisi ndiyo walimpeleka Karakana ya o6bay kisha kituo cha polisi arusha then polisi hao hao wakampeleka Katavi wakampa chuma kikapita pembeni ya mshipa medula kikafumua taya? na kumuacha pembeni ya mto wenye mamba na viboko na sehemu ya wanyama wakali kama simba tembo chui wanapokunywa maji? Utasemaje ndiyo mliomuokoa?
Kuna kitu cha muhimu kushinda uhai wa mtu?Tunamezwa na taarifa za kina SATIVA nchi inaporwa kinyama,tumekuwa watu wa matukio kila uchao, pathetic