Umemmaliza!!!Dogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?
Cowardness: Google
Abstruct = abstract?
Kingereza = Kiingereza?
hill = hilo?
siro = Siro?
malima = Malima?
police = polisi? (maana maandishi yako ni ya Kiswahili)
brocken = broken? (bahati mbaya "title" huwezi kuirekebisha)
Yaani sentensi mbili madudu kibao; peleka vyeti vyako NECTA haraka vikakaguliwe.
Ni vigumu sana ku-quantify ujinga wako; Usirudie tena kujifanya unakosoa usilolijua. FoolishNimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstruct noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Kabisa, ukiwemo na wewe!tusome kingereza
Safi sana mkuuuDogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?
Cowardness: Google
Abstruct = abstract?
Kingereza = Kiingereza?
hill = hilo?
siro = Siro?
malima = Malima?
police = polisi? (maana maandishi yako ni ya Kiswahili)
brocken = broken? (bahati mbaya "title" huwezi kuirekebisha)
Yaani sentensi mbili madudu kibao; peleka vyeti vyako NECTA haraka vikakaguliwe.
Wataalamu wa Kingereza wanasema kama herufi inajirudia, basi unaandika moja tu! Nadhani ni sahihi kuandika Kingereza! Kuna siku niliuliza humu mtalamu wa lugha akanielekeza hivyoDogo haina chembe ya shaka wewe ni mjinga. Eti kama "hatujui kingereza bora tukae kimya"; mbona umepanua domo lako?
Cowardness: Google
Abstruct = abstract?
Kingereza = Kiingereza?
hill = hilo?
siro = Siro?
malima = Malima?
police = polisi? (maana maandishi yako ni ya Kiswahili)
brocken = broken? (bahati mbaya "title" huwezi kuirekebisha)
Yaani sentensi mbili madudu kibao; peleka vyeti vyako NECTA haraka vikakaguliwe.
Duh! Hiyo kanuni ni kwa lugha ipi Mkuu? Kiswahili, Kiingereza, au lugha zote? Kama ni kwa Kiswahili nakubali ujinga kwenye hilo eneo; sikuwahi kujua kitu kama hicho. Ila kama ni kanuni ya English, basi ni makosa kwa sababu lugha aliyoandikia maelezo yake ni Kiswahili.Wataalamu wa Kingereza wanasema kama herufi inajirudia, basi unaandika moja tu! Nadhani ni sahihi kuandika Kingereza! Kuna siku niliuliza humu mtalamu wa lugha akanielekeza hivyo
Tatizo la vijana wengi hawaijui lugha ya kiingereza, ila wamekariri lugha ya kiingereza. Kwa hiyo mtu akiongea nje ya maneno aliyokariri yeye basi anaona makosa. Kwa hiyo ni bora kabla hujakosoa ni vizuri akajiridhisha hata kwa kuuliza watu wengine kwanza. Ni si lazima ukiona mtu kakosea neno moja ukakurupuka kuanzisha thread hapa jf. Kuna mambo mengi tu ambayo yanaizunguka jamii yetu ila bado hayazungumzwa.Hata hivyo kamanda Sirro hakukosea, mtoa mada ndo hajui kingereza vizuri!!
Kiswahili!Duh! Hiyo kanuni ni kwa lugha ipi Mkuu? Kiswahili, Kiingereza, au lugha zote? Kama ni kwa Kiswahili nakubali ujinga kwenye hilo eneo; sikuwahi kujua kitu kama hicho. Ila kama ni kanuni ya English, basi ni makosa kwa sababu lugha aliyoandikia maelezo yake ni Kiswahili.
Dah..... kabla ya kuanza kuanza kusoma kiingereza.....tujifunze kuandika Kiswahili vizuri kwanza πππNimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
We hujitambui. Akiongea mzungu kiswahili cha kubabaisha mnapiga makofi na kumsifia. Acha utoto aisee.Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Ndo hajui hata yeyengoja nmtetee labda anajua kukitumia ila spelling ndo chenga
Mimi ninamtetea,wewe pamoja na kukijua hicho kimalikia chako umetuandikia vitabu vya broken English,mpaka tumeamua kuvifuta!!!!Unadhani watoto wetu waliovisoma wataongea "kingredha" cha namna gani!!!!Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza
Lakini si ulimuelewa! We unaona sifa kushobokea lugha iliyoletwa kwenye majahazi sio! Huo ni utumwa wa kifikra.Nimemsikia kamanda siro akiongelea swala LA police kufyatua risasi dhidi ya ukaidi Wa malima.
Jamani kama hatujui kingereza bora tukae kimya. Ametamka neno "cowardnes" hakuna hill neno alipaswa aseme "cowardice" kama abstract noun na siyo cowardness . watanzania tusome kingereza