Kamanda Sirro na broken english

Umemmaliza!!!
 
Ni vigumu sana ku-quantify ujinga wako; Usirudie tena kujifanya unakosoa usilolijua. Foolish
 
Safi sana mkuuu
Sijui hii kuku imetokea wapi
 
Wataalamu wa Kingereza wanasema kama herufi inajirudia, basi unaandika moja tu! Nadhani ni sahihi kuandika Kingereza! Kuna siku niliuliza humu mtalamu wa lugha akanielekeza hivyo
 
Wataalamu wa Kingereza wanasema kama herufi inajirudia, basi unaandika moja tu! Nadhani ni sahihi kuandika Kingereza! Kuna siku niliuliza humu mtalamu wa lugha akanielekeza hivyo
Duh! Hiyo kanuni ni kwa lugha ipi Mkuu? Kiswahili, Kiingereza, au lugha zote? Kama ni kwa Kiswahili nakubali ujinga kwenye hilo eneo; sikuwahi kujua kitu kama hicho. Ila kama ni kanuni ya English, basi ni makosa kwa sababu lugha aliyoandikia maelezo yake ni Kiswahili.
 
Hata hivyo kamanda Sirro hakukosea, mtoa mada ndo hajui kingereza vizuri!!
Tatizo la vijana wengi hawaijui lugha ya kiingereza, ila wamekariri lugha ya kiingereza. Kwa hiyo mtu akiongea nje ya maneno aliyokariri yeye basi anaona makosa. Kwa hiyo ni bora kabla hujakosoa ni vizuri akajiridhisha hata kwa kuuliza watu wengine kwanza. Ni si lazima ukiona mtu kakosea neno moja ukakurupuka kuanzisha thread hapa jf. Kuna mambo mengi tu ambayo yanaizunguka jamii yetu ila bado hayazungumzwa.
 
Kiswahili!
 
Siro hakuchapia alisema askari kama asingelimkamata Masha angelishtakiwa kwa kosa liitwalo cowardness kipolis. Hl neno lipo na nikiingreza sahh kabsa we ndo hujui na hzo pumba zako.
 
Dah..... kabla ya kuanza kuanza kusoma kiingereza.....tujifunze kuandika Kiswahili vizuri kwanza 😎😎😎
 
We hujitambui. Akiongea mzungu kiswahili cha kubabaisha mnapiga makofi na kumsifia. Acha utoto aisee.
 
Mimi ninamtetea,wewe pamoja na kukijua hicho kimalikia chako umetuandikia vitabu vya broken English,mpaka tumeamua kuvifuta!!!!Unadhani watoto wetu waliovisoma wataongea "kingredha" cha namna gani!!!!
 
Lakini si ulimuelewa! We unaona sifa kushobokea lugha iliyoletwa kwenye majahazi sio! Huo ni utumwa wa kifikra.
 
Labda humjui Kamanda Sirro, ukamguse ukutane na kiingereza kile kinachotakiwa, ni msomi sio wa kufoji kama mtoa post!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…