Kamanda Sirro: Namkubali sana msanii Diamond Platnumz

Kama Kamanda kawa-boa basi chukueni ujumbe wake " wasanii waige mafanikio ya DIAMOND " maana hiyo ya yeye kusifia muziki wa DIAMOND watu imewakera kisa hajasifiwa mlinzi wa tembo.
 
Huyu kamanda Siro atakuwa bado hajaiona ile video ya armed robbery tena ya bank aliyofanya diamond na Aka kutoka S.A.
 
Mkuu ushabiki wanini hivi Mzee Siro amesema anapenda kila wimbo wa diamond afu unauliza kuhusu zigo??? Dah mi najua ni ya AY kumbe ni ya diamond??? af ni ww uncle Ben siamin.
 
Kama Kamanda kawa-boa basi chukueni ujumbe wake " wasanii waige mafanikio ya DIAMOND " maana hiyo ya yeye kusifia muziki wa DIAMOND watu imewakera kisa hajasifiwa mlinzi wa tembo.
Acha kupaniki dogo muuza vocha za vodacom kasifiwa na kamanda tulieni nn mnaweweseka na king kiba?
 
Kukubalika si mchezo, jamaa kapiga kazi saaaaana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…