December 2023 Idf ilitangaza kumuua kwenye shambulizi kamanda wa Hamas Haitham Al hawajri
Siku ya jana kwenye makabidhiano ya mateka kamanda Haitham alionekana akimu-escort Keith siege na kumkabidhi kwa red cross.
Ieleweke siku kadhaa nyuma kamanda Hussein fayyad aliyetangazwa kwamba aliuliwa alionekana kwenye sherehe ya makabidhiano ya mateka