FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho kilitakiwa kuwahami.
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.
Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.
Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾
View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.
Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.
Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾
View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j