Kwa ardhini wanakandwa hata na Jwtz yaani wao wanategemea zaidi ndege tu coz machoko wengiVita ya ardhini hawaiwezi, soon wataondoa askari wao wote.
Iran itapasuka vipande vipande. Ayatollah kumfuata nasrallah
Hiki kichapo kjtoka kwa Hezbollah mpaka kamanda wa vifaru wa kizayuni akatoka nduki kwenda kujiudhuru 👇🏾Iran itapasuka vipande vipande. Ayatollah kumfuata nasrallah
Yapigwe MazayuniKamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho kilitakiwa kuwahami.
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.
Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.
Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾
View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j
Hii nafasi wangeitumia kuwaanvaniza wote na chopa zaoHiki kichapo kjtoka kwa Hezbollah mpaka kamanda wa vifaru wa kizayuni akatoka nduki kwenda kujiudhuru 👇🏾
View: https://youtu.be/nhOMAT7HUfM?si=os-RfjCZfLir0yDN
Uzuri wa Hezbollah ni Waislam, wanafata rules za "engagement".Hii nafasi wangeitumia kuwaanvaniza wote na chopa zao
Sasa kama magaidi hayavai uniform yakaingia front yanajificha kwa wanawake na watoto na raia wengine kwa nn wasipigwe woteUzuri wa Hezbollah ni Waislam, wanafata rules za "engagement".
Hata Iran juzi, wamelenga vituo vya kijeshi na usalama tu.
Siyo kama nguruwe wa kizayuni wanaouwa watoto na wanawake.
Viko wapi?Iran inadai kuharibu idadi ya ndege za kivita za Israel za F-35 katika kituo cha anga cha Nevatim.
Mkuu wa majeshi ya Iran, Mohammad Bagheri, aliiambia Press TV kwamba kambi ya anga ya Nevatim, kituo cha kijeshi cha Netzarim na kitengo cha kijasusi cha Tel Nof, vilipigwa katika shambulio la Jumanne usiku lililopewa jina la 'Operation True Promise II'.
Katika taarifa ya mtandao wa airlive.net inasema, Makombora ya Walinzi wa Mapinduzi ya Iran yalilenga vyema vituo vitatu vya kijeshi vya Israel, kwa matumizi ya kwanza ya makombora ya 'hypersonic' ya Fatah.
Iran imelenga vituo vitatu vya anga vya Israel vikiwemo,
Nevatim Air Base, kituo cha kuhifadhi ndege za F-35 na kitovu kikuu cha kuagiza bidhaa za kijeshi.
Netzarim Air Base, ambapo ndege za F-15 zimewekwa pamoja na Tel Nof Air Base, iliyoko karibu na Tel Aviv.
Iran pia ilidai kugonga kituo cha anga cha Tel Nof kusini mwa Tel Aviv ambapo walisema "idadi kubwa ya vifaru vya Israeli" viliharibiwa.
Hata hivyo taarifa hizo zinakanushwa mtandaoni kuwa hakuna ushahidi wa makombora ya Iran kuharibu ndege hizo licha ya wanahabari wengi wa nje kuzuiwa kuingia maeneo ya Israel.
Taarifa zaidi;
Iran claims to have destroyed a number of Israeli F-35 fighter jets at Nevatim air base (video)
Iranian Revolutionary Guard missiles successfully targeted three Israeli military bases, marking the first use of hypersonic Fatah missiles. Iran has targeted three Israeli air bases: Footage of the strike on Nevatim Airbase, Iran claimed to have destroyed a number of Israeli F-35 fighters at...airlive.net
Iranian Media Claims Israeli F-35 Fighters Destroyed In Missile Strike
Claims were made that it destroyed entire squadrons of the Lockheed Martin F-35I Adir—the Israeli Air Force's fifth-generation fighter.www.forbes.com
How old are you?Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho kilitakiwa kuwahami.
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.
Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.
Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾
View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j