Kamari hulemaza ubongo wa vijana ndio sababu vijana wa Tanzania wengi ni chawa

Kamari hulemaza ubongo wa vijana ndio sababu vijana wa Tanzania wengi ni chawa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kamari au kubet kama mnavyoita ni aina Fulani ya Laana na kama unabisha nenda kasome Vitabu vitakatifu

Wanasiasa wa Tanzania hasa huku Tanganyika tuondoleeni haya makamari

Nakumbuka Shehe Mmoja aliwahi kupindua pindua meza za kuchezea " Korokoro" pale Mnazi Mmoja kidongo chekundu Wakati wa sikukuu ya Eid

Ahsanteni sana 🐼
 
Kamari au kubet kama mnavyoita ni aina Fulani ya Laana na kama unabisha nenda kasome Vitabu vitakatifu

Wanasiasa wa Tanzania hasa huku Tanganyika tuondoleeni haya makamari

Nakumbuka Shehe Mmoja aliwahi kupindua pindua meza za kuchezea " Korokoro" pale Mnazi Mmoja kidongo chekundu Wakati wa sikukuu ya Eid

Ahsanteni sana 🐼
Chanzo cha ongezeko la Kamari ni kufeli Kwa Serikali ya CCM kujenga ajira na mifumo wezeshi, CCM ilaumiwe
 
Kamari au kubet kama mnavyoita ni aina Fulani ya Laana na kama unabisha nenda kasome Vitabu vitakatifu

Wanasiasa wa Tanzania hasa huku Tanganyika tuondoleeni haya makamari

Nakumbuka Shehe Mmoja aliwahi kupindua pindua meza za kuchezea " Korokoro" pale Mnazi Mmoja kidongo chekundu Wakati wa sikukuu ya Eid

Ahsanteni sana 🐼
Tulia wewe!!! Kamari huimarisha afya ya ubongo pia hurekebisha mapigo ya moyo
 
Vijana hawana ajira ndio maana ajira imekuwa Uchawa na Kamari na ni makosa ya sera mbovu za walioko madarakani.
 
Serikali ya ccm inajali mapato ya kodi tu toka kwenye makampuni ya kamali ; sijui hawajui athari za kamali kwa maisha ya vijana wetu?
Kamali ni addictive, ukianza kucheza kamali ni vigumu kuacha hivyo Hawa vijana wasiokuwa na kazi wakishazoea kucheza kamali siku wakikosa fedha za kuchezea huingia kwenye vitendo vya kiharifu!
If one were to do a cost/benefit analysis of these betting ventures to the country, I would not be surprised to find out that the costs to the Nation outweigh the benefits ( taxes collected)
Lakini Hawa ccm wamajali matumbo yao tu na sio usalama wa nchi yetu iliyojaa vijana wacheza kamali!
 
Back
Top Bottom