Kamari imekuwa mkombozi wa Taifa

Kamari imekuwa mkombozi wa Taifa

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Ukweli lazima usemwe bila woga bila kamari nchi hii hakuna maisha, iwe kwa vijana au wazee wake kwa waume! Kamari imekuwa tegemeo la uchumi na mapato ya serikali.

Bila kamari vyombo vyote vya habari ikiwemo TBC haviwezi kulipa mishahara ya watumishi wao. Bila kamari serikali haiwezi kulipa mishahara ya watumishi wake.

Hakika kamari ni ukombozi wa Taifa!
 
Nilikuwa naangalia kituo kimoja cha luninga kwenye kipindi chao kimoja hivi walipomaliza wakaishia kutangaza watu wacheze bahati nasibu yao watapata fedha za sikukuu za mwisho na mwanzo wa mwaka. Wengine kila baada ya taarifa ya habari wanahamasisha watazamaji wao wacheze bahati nasibu yao. Wacheza kamari wapo wamewapata wawachezeshe, sie wengine hatuna muda wa kucheza kamari hizo na hatutaki kuchezea hela zutu
 
Kama hii
Ilibidi usindikize na kapicha ka vijana kwa wazee wakichambua mikeka.
tapatalk_1674496590971.jpeg
 
Back
Top Bottom