johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nilitegemea mikutano mitatu ya kwanza ya CHADEMA hali ya Uchumi ndio ingekuwa Hoja kuu. Cha ajabu hoja kuu imekuwa Maridhiano ya CCM na CHADEMA ambayo hayawahusu Watanzania wote.
Unapopata fursa ya kuongea na Wananchi zungumzia mambo ya Taifa siyo ya chama chako. Nampongeza Komredi Chongolo kwa kuzungumzia ulegevu wa Watendaji wa Serikali wakiwemo Mawaziri.
CCM inalinda Dola, amesisitiza Chongolo. Kwahiyo CHADEMA wanaotafuta Dola walipaswa kwenda mbali zaidi kwa kudadavua hali ya Uchumi na ugumu wa maisha.
Mungu awabariki sana!
Unapopata fursa ya kuongea na Wananchi zungumzia mambo ya Taifa siyo ya chama chako. Nampongeza Komredi Chongolo kwa kuzungumzia ulegevu wa Watendaji wa Serikali wakiwemo Mawaziri.
CCM inalinda Dola, amesisitiza Chongolo. Kwahiyo CHADEMA wanaotafuta Dola walipaswa kwenda mbali zaidi kwa kudadavua hali ya Uchumi na ugumu wa maisha.
Mungu awabariki sana!