BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-interesting kuna Dada mmoja enzi hizo alitapeliwa hela za matumizi ya mwezi ilikuwa ni hatari kwa sababu ilikuwa vigumu sana kuamini.Mi na wahuni wangu wa manzese ndo ilikua michezo yetu enzi za utoto hasa karata tatu
Baadae polisi wakazingua tukaingia mjini tukawa tunauzia maboksi watu badala ya simu mwenzetu mmoja alishikwa akadundwa nusura auwawe
Tukabadili tukawa tunatapeli watu pale soko la karume plus kweny minada ya nguo tunakuuzia matambala badala ya nguo kipande cha kitenge low quality ukikifua kimevuja tunakifunga vizur tunakuuzia au tunakwambia unapata na begi bure au buku lakin lazima ununue kitu palepale tunakuwa na watu wetu wananunua kukuvutia na ukinunua hupati begi ng'oo
Tukaja na ile staili mfano umeleta beki tatu toka bushi (mikoani) sisi tunakulia radar na masela wangu siku umeenda kazini tunaenda pale tunamwambia ni mafundi umetutuma tuchukue kitu kwa ajili ya ufundi mfano friji au tunaamisha vyombo kusingizia unahama nadhani hii mliisikia kitambo sana
Na utoto wangu huo huo miaka fulani hivi karibia na ujana tukawa tunatoboa madirisha ya watu kule mafiga Moro tunavuta simu dirishani ,tushakaba watu sana chamwino enzi hizo nimekimbia dar nimeenda Moro kuepuka soo la wizi
Ila imebaki historia nshaachana nayo hayo nshakuwa mtu mzma elimu ilinikomboa na huo udhwalimu nikaamua nipige kitabu
wahuni wangu wengi wapo gereza la huko tunduma na hapo mkuranga wanamalizia malizia ada yao nadhan nao wamebadilika
Yaani ktk kipind changu cha haya matukio nimejifunza wajinga wapo kila siku na ndo hao tunaowaliza .
Ni hatari aiseeDaaaah hawa wasenge hawafai kwa jamii
*****...yaani hyo ya minada ya nguo usku sitosahau,japo yale manguo yanapoor quality lakini nazitimba hvyohvyo kufidia pesa yanguMi na wahuni wangu wa manzese ndo ilikua michezo yetu enzi za utoto hasa karata tatu
Baadae polisi wakazingua tukaingia mjini tukawa tunauzia maboksi watu badala ya simu mwenzetu mmoja alishikwa akadundwa nusura auwawe
Tukabadili tukawa tunatapeli watu pale soko la karume plus kweny minada ya nguo tunakuuzia matambala badala ya nguo kipande cha kitenge low quality ukikifua kimevuja tunakifunga vizur tunakuuzia au tunakwambia unapata na begi bure au buku lakin lazima ununue kitu palepale tunakuwa na watu wetu wananunua kukuvutia na ukinunua hupati begi ng'oo
Tukaja na ile staili mfano umeleta beki tatu toka bushi (mikoani) sisi tunakulia radar na masela wangu siku umeenda kazini tunaenda pale tunamwambia ni mafundi umetutuma tuchukue kitu kwa ajili ya ufundi mfano friji au tunaamisha vyombo kusingizia unahama nadhani hii mliisikia kitambo sana
Na utoto wangu huo huo miaka fulani hivi karibia na ujana tukawa tunatoboa madirisha ya watu kule mafiga Moro tunavuta simu dirishani ,tushakaba watu sana chamwino enzi hizo nimekimbia dar nimeenda Moro kuepuka soo la wizi
Ila imebaki historia nshaachana nayo hayo nshakuwa mtu mzma elimu ilinikomboa na huo udhwalimu nikaamua nipige kitabu
wahuni wangu wengi wapo gereza la huko tunduma na hapo mkuranga wanamalizia malizia ada yao nadhan nao wamebadilika
Yaani ktk kipind changu cha haya matukio nimejifunza wajinga wapo kila siku na ndo hao tunaowaliza .
Uthisubutu kununua nguo kwenye minada*****...yaani hyo ya minada ya nguo usku sitosahau,japo yale manguo yanapoor quality lakini nazitimba hvyohvyo kufidia pesa yangu
Kwenye mambo gani alitapeliwa ?-interesting kuna Dada mmoja enzi hizo alitapeliwa hela za matumizi ya mwezi ilikuwa ni hatari kwa sababu ilikuwa vigumu sana kuamini.
Napenda sana minada ya nguo za mtumba,chimbo langu kubwa ni pale buguruni bakhresa....Ila lile tukio la kununua usiku,sijui ujasiri niliutolea wapi..Uthisubutu kununua nguo kwenye minada
Halafu usipende kununua nguo usiku
Hata hivyo tunajifunza kutokana na makosa mkuuNapenda sana minada ya nguo za mtumba,chimbo langu kubwa ni pale buguruni bakhresa....Ila lile tukio la kununua usiku,sijui ujasiri niliutolea wapi..
Mchezo wa kamariKwenye mambo gani alitapeliwa ?