Kamari za mpira, unyonyaji mpya uangamizao vijana

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
338
Reaction score
180
NI kweli vijana wengi sasa wamejingiza katika huu mchezo na kuwaza mambo mengine yasio kuwa na taji katika taifa

mda mwingi wanawaza kubeti tu
 
Kama nmekula millio 28 kwa dau la elfu 100 nitaachaje kubet sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…