MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,137
- 3,931
Usman ameweza kutetea taji lake la welterweight kwa mara ya pili ambapo hapo awali mwezi July 2020 alimtwanga Masdival kwa points.
Masdival amesema inamuuma kuchapwa kipigo cha KO mpaka kupoteza fahamu mbele ya familia yake na marafiki.
Mechi hiyo ilipigwa usiku wa jumamosi 24 April
Aisee naukubali sana mchezo wa MMA.Wanaijeria wamewekeza huko kina Israel Adesanya na wengine.
View attachment 1763749
Masdival amesema inamuuma kuchapwa kipigo cha KO mpaka kupoteza fahamu mbele ya familia yake na marafiki.
Mechi hiyo ilipigwa usiku wa jumamosi 24 April
Aisee naukubali sana mchezo wa MMA.Wanaijeria wamewekeza huko kina Israel Adesanya na wengine.
View attachment 1763749