JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Habari wana JF.
Nimepokea ujumbe kutoka kijijini kuwa rafikiyangu kipenzi amekamatwa na kuswekwa rumande kwa kosa la kushindwa kulipa kiasicha TZS 570,000/=
Issue ilikuwa hivi. Kuna jamaa huwa wananunuamazao kipindi cha mavuno hivo hutumia wenyeji wa eneo husika kama maajenti iliwaweze kupata mzigo kiurahisi.
Ilitokea akaja mtu mmoja tumiute XX,akamkabidhi rafiki yangu kiasi cha TZS 900,000 ili akusanye mzigo. Akakusanya mzigowa TZS 330,000 Kisha akamkabidhi.
Kumbe huyo XX nae alipewa hela na YY. Siku moja XX na YY wakakorofishana, hivo YY akamuombaXX amkabidhi pesa zake zote na akamkabidhi pamoja na deni la rafiki yangu. Kwa hiyo deni likabaki kati ya YY na rafiki yangu.
Baada ya siku kadhaa XX akaja akachukua mzigokwa rafiki yangu wa TZS 420,000 ambao ulikuwa tayari kwa madai ametumwa na YY. Kwavile rafiki yangu alianza kumfaham XX kabla ya YY hakupata tabu kumkabidhi ulemzigo.
Kiasi kilicho baki rafiki yangu alinunua mzigolakini hakuuchukua kwa wauzaji.
Mwenye nao anautaka tangu mwezi wa tisa. XX ametokomea hata wale alionunua nakutokuchukua mzigo nao wametokomea.
Rafiki yangu yuko kijijini alishawishiwaakubali na waandikishiane kulipa hilo deni na kisha watasaidiana kusaka haowalio kimbia wamurudishie pesa zake. Yotehayo yalifanyika.
Sasa je. Kunanjia atajinasua na Kesi hiyo.
Karibunui kwa michamgo yenu tumnusuru rafikiyangu.
Nimepokea ujumbe kutoka kijijini kuwa rafikiyangu kipenzi amekamatwa na kuswekwa rumande kwa kosa la kushindwa kulipa kiasicha TZS 570,000/=
Issue ilikuwa hivi. Kuna jamaa huwa wananunuamazao kipindi cha mavuno hivo hutumia wenyeji wa eneo husika kama maajenti iliwaweze kupata mzigo kiurahisi.
Ilitokea akaja mtu mmoja tumiute XX,akamkabidhi rafiki yangu kiasi cha TZS 900,000 ili akusanye mzigo. Akakusanya mzigowa TZS 330,000 Kisha akamkabidhi.
Kumbe huyo XX nae alipewa hela na YY. Siku moja XX na YY wakakorofishana, hivo YY akamuombaXX amkabidhi pesa zake zote na akamkabidhi pamoja na deni la rafiki yangu. Kwa hiyo deni likabaki kati ya YY na rafiki yangu.
Baada ya siku kadhaa XX akaja akachukua mzigokwa rafiki yangu wa TZS 420,000 ambao ulikuwa tayari kwa madai ametumwa na YY. Kwavile rafiki yangu alianza kumfaham XX kabla ya YY hakupata tabu kumkabidhi ulemzigo.
Kiasi kilicho baki rafiki yangu alinunua mzigolakini hakuuchukua kwa wauzaji.
Mwenye nao anautaka tangu mwezi wa tisa. XX ametokomea hata wale alionunua nakutokuchukua mzigo nao wametokomea.
Rafiki yangu yuko kijijini alishawishiwaakubali na waandikishiane kulipa hilo deni na kisha watasaidiana kusaka haowalio kimbia wamurudishie pesa zake. Yotehayo yalifanyika.
Sasa je. Kunanjia atajinasua na Kesi hiyo.
Karibunui kwa michamgo yenu tumnusuru rafikiyangu.