Uchaguzi 2020 Kamatakamata ya rushwa ndani ya CCM ni mtego kwa wapinzani

Uchaguzi 2020 Kamatakamata ya rushwa ndani ya CCM ni mtego kwa wapinzani

bne

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
1,679
Reaction score
2,016
Kamata Kamata ya rushwa ndani ya CCM ni mtego kwa wapinzani ili muda wa kampeni utakapofika waanze kuwakamata wapinzani kwa nadai hayohayo ya rushwa.

Hii ya sasa inayofanyika ni ku justify pale watakapoanza kuwashughulikia wapinzani kwa kisingizio kuwa sheria ni maneno.

Watawakamata wapinzani hasa ktk majimbo Yale yenye upinzani imara na kuwaondoa ktk mstari huku wakisema kuwa sio wapinzani tu wanaokamatwa kwani hata ccm wanaokamatwa.

Kwa taarifa hii nawatahadharisha viongozi na watia Nia wa upinzani kujiandaa mapema kwa Hali hiyo inayokuja mbele yao, wasije sema hawakuonywa
 
Rushwa ilizaliwa ndani ya ccm na imekulia humo na itazeekea humo humo...
 
ccm ndo muasisi wa machafu yoote ya nchi hii...upinzani tunaangalia sana usmart ..japo kuwa kasoro hazikosekani kwa baadhi yao
 
Kamata Kamata ya rushwa ndani ya ccm ni mtego kwa wapinzani ili muda wa kampeni utakapofika waanze kuwakamata wapinzani kwa nadai hayohayo ya rushwa. Hii ya sasa inayofanyika ni ku justify pale watakapoanza kuwashughulikia wapinzani kwa kisingizio kuwa sheria ni maneno.
Watawakamata wapinzani hasa ktk majimbo Yale yenye upinzani imara na kuwaondoa ktk mstari huku wakisema kuwa sio wapinzani tu wanaokamatwa kwani hata ccm wanaokamatwa. Kwa taarifa hii nawatahadharisha viongozi na watia Nia wa upinzani kujiandaa mapema kwa Hali hiyo inayokuja mbele yao, wasije sema hawakuonywa
Sasa unataka Wapinzani wakifanya rushwa wasikamatwe????
 
Kamata Kamata ya rushwa ndani ya ccm ni mtego kwa wapinzani ili muda wa kampeni utakapofika waanze kuwakamata wapinzani kwa nadai hayohayo ya rushwa. Hii ya sasa inayofanyika ni ku justify pale watakapoanza kuwashughulikia wapinzani kwa kisingizio kuwa sheria ni maneno.
Watawakamata wapinzani hasa ktk majimbo Yale yenye upinzani imara na kuwaondoa ktk mstari huku wakisema kuwa sio wapinzani tu wanaokamatwa kwani hata ccm wanaokamatwa. Kwa taarifa hii nawatahadharisha viongozi na watia Nia wa upinzani kujiandaa mapema kwa Hali hiyo inayokuja mbele yao, wasije sema hawakuonywa
TUNAJUA HAO CCM NA SERIKALI YAKE INAYOYAPANGA, LEO LAKE NI KUKAMATA WAPINZANI NA KUWABANDIKA KESI ZISIZO NA KICHWA WALA MIGUU.
 
Back
Top Bottom