Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kamati imeutukana mpira wa miguu😀! Khalid Aucho ndie anaamua Yanga icheze vipi, kwa kasi ipi na mwelekeo gani! Bahati mbaya wamemchinjia baharini, alipaswa kuwemo kwenye orodha ya Kiungo Bora.
Labda ndo aliyeandika kule unajuaje?Toa credit kwa ulipo chukua hii habari