Kamati Imeutukana Mpira wa Miguu

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Kamati imeutukana mpira wa miguu😀! Khalid Aucho ndie anaamua Yanga icheze vipi, kwa kasi ipi na mwelekeo gani! Bahati mbaya wamemchinjia baharini, alipaswa kuwemo kwenye orodha ya Kiungo Bora.
 
Anzisha tuzo zako upange unavyoona wewe inafaa
 
Kamati imeutukana mpira wa miguu😀! Khalid Aucho ndie anaamua Yanga icheze vipi, kwa kasi ipi na mwelekeo gani! Bahati mbaya wamemchinjia baharini, alipaswa kuwemo kwenye orodha ya Kiungo Bora.

Kiuongo mbovu sana huyu
 
Labda kama hujui mpira TUKUFUNDISHE.

1. Aucho AMECHEZA vizuri zaidi kombe la shirikisho kwenye mashindano ya kimataifa.

Kunamda Nabi anamtumia kama No 6 kwaajili ya kusuply MIPIRA kutoka chini.

2UKIJA KWENUE LIGI.
Aucho HASTAHILI kuingia kwenye mashindano kwa sababu
I. Rotation kubwa ya Nabi kwenye LIGI
Bangala, Aucho, mdadhiri,Sure boy, zawadi mauya.
II. Kupata Kadi nyingi za Njano.


BY THE WAY AMECHEZA VIZURI ZAIDI SHIRIKISHO KULIKO LIGI NBC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…