Waulize PolisiWatu hawana habari na porojo za CHADEMA. Kwa sasa watanzania wapo Bize na Rais Samia na CCM tu. Rais na chama ambacho kimebeba matumaini yao na kuwa na uchungu na maisha yao.
Nenda uwaulize wewe.Waulize Polisi
Wewe ni mchokozi sana.Watu hawana habari na porojo za CHADEMA. Kwa sasa watanzania wapo Bize na Rais Samia na CCM tu. Rais na chama ambacho kimebeba matumaini yao na kuwa na uchungu na maisha yao.
Uko nyuma sana!Nenda uwaulize wewe.
Shetani hajawahi kumshinda MunguWewe ni mchokozi sana.
Nchi ni ya wote.
Ingawaje, kwa yanayoendelea mi nashukuru tu kwasababu walimsema sana JPM. Walimuita majina yote mabaya.
Cha ajabu bichura kiziwi wanasema eti aliyemwandikia speech atumbuliwe, hawaamini kama hizo ndio rangi zake halisi!😄
Kumbe upo Miss wa Mbowe? Vipi Bon Yai nilisikia eti ametekwa ni kweli?Hii ndio Taarifa iliyosambazwa na Chadema kote Duniani iliyotufikia jioni hii, inaeleza kwamba, Miongoni mwa Walioteuliwa yumo Mtuhumiwa Boniface Jackob, aliyetajwa kuwania Uenyekiti wa Kanda ya Pwani.
View attachment 3099821View attachment 3099824View attachment 3099836
Kuna polisi mmoja kapigwa ngumi ya chembe, nasikia yuko MoiKumbe upo Miss wa Mbowe? Vipi Bon Yai nilisikia eti ametekwa ni kweli?
Hahaha kapigwa na Bon Yai au?Kuna polisi mmoja kapigwa ngumi ya chembe, nasikia yuko Moi
Sasa, imekuwaje hadi akina Martin Maranja Masese wakanyang'anywa simu zao? Au walikuwa wanarecord scene kati ya boni na tanpol?Kuna polisi mmoja kapigwa ngumi ya chembe, nasikia yuko Moi
Naam, lakini tayari Content ziko googleSasa, imekuwaje hadi akina Martin Maranja Masese wakanyang'anywa simu zao? Au walikuwa wanarecord scene kati ya boni na tanpol?
Walah, sipati picha!
Lakini kweli Nchi hii ni ya sisi sote bila kujali itikadi za kisiasa, kidini , kabila wala Rangi. Huu ujimilikishaji wa Nchi yetu kwa Kikundi cha baadhi ya watu tu umeanza lini? Repeat this beautiful country called Tanzania is for us all. Ni ya watu wote takribani 65 milioni . Tutailinda na kuipigania isije kuporwa !Wewe ni mchokozi sana.
Nchi ni ya wote.
Ingawaje, kwa yanayoendelea mi nashukuru tu kwasababu walimsema sana JPM. Walimuita majina yote mabaya.
Cha ajabu bichura kiziwi wanasema eti aliyemwandikia speech atumbuliwe, hawaamini kama hizo ndio rangi zake halisi!😄
Wewe nj mbumbumbu wa ITNaam, lakini tayari Content ziko google
Ila kaka Luca ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi wallahi tena 😂Watu hawana habari na porojo za CHADEMA. Kwa sasa watanzania wapo Bize na Rais Samia na CCM tu. Rais na chama ambacho kimebeba matumaini yao na kuwa na uchungu na maisha yao.
Wasingekuwa busy hata wewe usinge comment hapaWatu hawana habari na porojo za CHADEMA. Kwa sasa watanzania wapo Bize na Rais Samia na CCM tu. Rais na chama ambacho kimebeba matumaini yao na kuwa na uchungu na maisha yao.
Anza na laiyejimilikisha ChademaLakini kweli Nchi hii ni ya sisi sote bila kujali itikadi za kisiasa, kidini , kabila wala Rangi. Huu ujimilikishaji wa Nchi yetu kwa Kikundi cha baadhi ya watu tu umeanza lini? Repeat this beautiful country called Tanzania is for us all. Ni ya watu wote takribani 65 milioni . Tutailinda na kuipigania isije kuporwa !