Kamati Kuu CHADEMA ina wivu na Wabunge 19 waliofutwa uanachama

Kamati Kuu CHADEMA ina wivu na Wabunge 19 waliofutwa uanachama

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Kama hizi nafasi zingeruhusu na wanaume basi huenda Mbowe, Msigwa, Heche, Sugu wangetimba bungeni

Kwasasa wanachopambania ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa, Sugu, Lema na Heche kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungeni kwa nafasi hizo 19, wasingekataa

Hizi sarakasi zote ni kutaka WOTE WAKOSE

Kilichotokea kina Halima Mdee waliwazidi ujanja

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungeni, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya

2020 JPM aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gani mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka Ikulu mkitaka mama aingilie Mahakama wakina Mdee wapigwe chini mfurahi

Mmewasahau CCM, muulizeni Mbatia na Lipumba
 
Kama hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,basi huenda mbowe, Msigwa,heche ,sugu wangetimba. .bungen

Kwasasa wanachopambania Ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa,sugu ,lema na heche Kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungen kwa nafas hizo 19 , wasingekataa

Hizi sarakas zote Ni kutaka WOTE WAKOSE

kilichotokea kina halima Mdee waliwazidi ujanja ,

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungen, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya ,

2020 Jpm aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gan mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka ikulu ,mkitaka mama aingilie mahakama , wakina Mdee wapigwe chini mfurahi,

Mmewasahau CCM , muulizeni mbatia,lipumba
Kwanini haijawa na wivu na wewe🚶
 
Kama hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,basi huenda mbowe, Msigwa,heche ,sugu wangetimba. .bungen

Kwasasa wanachopambania Ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa,sugu ,lema na heche Kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungen kwa nafas hizo 19 , wasingekataa

Hizi sarakas zote Ni kutaka WOTE WAKOSE

kilichotokea kina halima Mdee waliwazidi ujanja ,

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungen, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya ,

2020 Jpm aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gan mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka ikulu ,mkitaka mama aingilie mahakama , wakina Mdee wapigwe chini mfurahi,

Mmewasahau CCM , muulizeni mbatia,lipumba
Tumia AKILI wanajipeleka au Wanaitwa? kama unadhani kwenda Ikulu ni kupeleka BEBA FAMILIA yako IPELEKE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kama hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,basi huenda mbowe, Msigwa,heche ,sugu wangetimba. .bungen

Kwasasa wanachopambania Ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa,sugu ,lema na heche Kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungen kwa nafas hizo 19 , wasingekataa

Hizi sarakas zote Ni kutaka WOTE WAKOSE

kilichotokea kina halima Mdee waliwazidi ujanja ,

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungen, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya ,

2020 Jpm aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gan mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka ikulu ,mkitaka mama aingilie mahakama , wakina Mdee wapigwe chini mfurahi,

Mmewasahau CCM , muulizeni mbatia,lipumba
Unajitekenya
 
Kama hizi nafas zingeruhusu na wanaume ,basi huenda mbowe, Msigwa,heche ,sugu wangetimba. .bungen

Kwasasa wanachopambania Ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa,sugu ,lema na heche Kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungen kwa nafas hizo 19 , wasingekataa

Hizi sarakas zote Ni kutaka WOTE WAKOSE

kilichotokea kina halima Mdee waliwazidi ujanja ,

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungen, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya ,

2020 Jpm aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gan mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka ikulu ,mkitaka mama aingilie mahakama , wakina Mdee wapigwe chini mfurahi,

Mmewasahau CCM , muulizeni mbatia,lipumba

Ali Banaga mtafutie mkeo kazi nyingine, ubunge sio kazi ya kudumu.
 
Kama hizi nafasi zingeruhusu na wanaume basi huenda Mbowe, Msigwa, Heche, Sugu wangetimba bungeni

Kwasasa wanachopambania Ni Wote wakose

Mtu Kama Msigwa,Sugu ,Lema na Heche kama wangeambiwa wavae sketi wajipeleke bungeni kwa nafasi hizo 19 , wasingekataa

Hizi sarakasi zote ni kutaka WOTE WAKOSE

Kilichotokea kina Halima Mdee waliwazidi ujanja

Miaka yote mnagomeaga matokeo ila kwakuwa huwa mnaachiwa majimbo kwa huruma ,mnatimba bungeni, wenzenu wanaokosa wanabaki kimya

2020 JPM aliwakomesha ,mnataka kina Mdee wakose, hiyo haikubaliki, kwani mwaka gani mliwahi kukubaliana na matokeo.

Kwasasa mnajipeleka Ikulu mkitaka mama aingilie Mahakama wakina Mdee wapigwe chini mfurahi

Mmewasahau CCM , muulizeni Mbatia na Lipumba
nani aliwapitisha kina mdee bungeni???mbona unakua kama hutumii akili kufikiri??unatumia ma....lio?????
 
Back
Top Bottom