Kamati Kuu ya CCM kukutana Dodoma kesho Jumanne Juni 22, 2021

Yaani hiki chama kibnavyochukiwa bora wangekuwa wanafanya mambo yao kimya kimya
 
Kile kipindi cha babu kijana cha channel ten bado kinaendelea? Au siasa chafu zimeondoka na dhalimu, hivyo mitume wa dhalimu wamepoteza nguvu?
 
..mimi ni mwana-ccm nimeunga mkono legacy. vikao vya kamati kuu vifanyike ikulu. kama una tatizo na hilo kunywa sumu ufe.
Ikulu tu vingefanyika nyumbani kwa Mwenyekiti Makunduchi ndio vizuri
 
Mama Samia kuna mtu anaitwa NYALANDU, eti ulimuahidi cheo mbona unampotezea? Nasikia hadi simu zake hampokei!
Mkumbuke tafadhali hata uDAS tu.
 
Wajumbe Kamati kuu, wamshauri Rais arudishe FAO LA KUJITOA

SERIKALI isichukue jasho la wanyonge
 
Akina mzee Halima na team yake watahudhuria?
 
Mama anaitisha kikao wakati tayari keshateua nafasi zote muhimu sasa wakakimbizane na UDA na DED wapambane na madiwani unreasonable.
 
Maisha yanaenda kasi sana, kijana wetu polepole na Bashiru hawatakuwepo kikaoni?....ila mama naye angewaacha tu wakomae hata 5yrs...
 
Kwa nini ukumbi uitwe white house Ikulu ya marekani na huku kuna majina mengi ya wapigania Uhuru kama Isike,Abushiri,Bwana Kheri, Kinjekitile ngwale au wapigania Uhuru wa Afrika akina Mondlane, Obote, Kaunda, Netto nk ,ccm ni mabepari waliojificha au hata Mazengo hall inatosha
 
KAMATI KUU WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA NI AIBU CCM KUOGOPA KATIBA MPYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…