mbona wanapoteza muda maana hizo posho sio kama ni tatizo sisi tunachotaka waanze kufanya kazi ya kututengenezea katiba mpya.Mwenyekiti wa muda wa ‪Bunge La Katiba ‬ameunda kamati ndogo ya wajumbe 6 kuchunguza suala la malalamiko ya posho juu ya bunge hilo la katiba.
Wajumbe wanaounda kamati ya kuchunguza posho ni Lukuvi, Freeman Mbowe, Paul Kimiti, Mohamed Aboud, Asha Makame na Jenista mhagama.
kumbe hawa ni wachumia tumbo,hakuna katiba hapa.CCM ni janga
Ndicho kilicho wapeleka Dodoma. Kwani katika hali ya kawaida wanunge hulipwa kiasi gani wanapokutana kwa vikao vya kawaida hadi leo walalamike??Mwenyekiti wa muda wa ‪Bunge La Katiba ‬ameunda kamati ndogo ya wajumbe 6 kuchunguza suala la malalamiko ya posho juu ya bunge hilo la katiba.
Wajumbe wanaounda kamati ya kuchunguza posho ni Lukuvi, Freeman Mbowe, Paul Kimiti, Mohamed Aboud, Asha Makame na Jenista mhagama.
Kamati ndogo ya walimu pia iundwe kuchunguza malalamiko ya walimu juu ya mishahara midogo na kuminywa marupurupu yao...
Pia kamati ndogo ya askari iundwe kuchunguza malalamiko ya askari kuhusu mishahara midogo