Kamati ya Bunge: Injini za Boeng zaleta hasara ya Bilioni 127 kwa ATCL

Kamati ya Bunge: Injini za Boeng zaleta hasara ya Bilioni 127 kwa ATCL

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Swali:
Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng?

---
LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.

Akiwasilisha bungeni jana taarifa ya mwaka ya kamati hiyo kwa kipindi cha Februari 2024 hadi Januari 2025, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Moshi Kakoso, alishauri serikali iharakishe upatikanaji injini mbadala za ndege aina ya A220-300 na pia itafute namna bora ya kuhakikisha ndege hizo zinaleta faida kwa nchi.

Mwenyekiti huyo alitaja changamoto nyingine ni upatikanaji vipuri kutokana na kushuka kwa uzalishaji vipuri hivyo duniani kutokana na athari za UVIKO-19.

Alisema ATCL pia inakabiliwa na uhaba wa marubani, hususan marubani viongozi, na wahandisi wenye leseni ya kuruhusu ndege kuruka baada ya matengenezo kukamilika.

View: https://x.com/Nipashetz/status/1886716612599845078?t=9cBWcQjvVHCqeKHZFAar-Q&s=19

Swali:
Kwa hasara hizi ,Kuna haja gani Sasa ya kuwa na Shirika la ndege?

Si Bora kulibinafsisha Kwa ubia Serikali iwe na hisa chache Ili kuokoa haya mabilioni ya walipakodo yanayopotea?

View: https://www.instagram.com/p/DF7NLhPCg0A/?igsh=Y2dwNDR2czdsZ2dv
 
Swali:
Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng?

---
LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.

Akiwasilisha bungeni jana taarifa ya mwaka ya kamati hiyo kwa kipindi cha Februari 2024 hadi Januari 2025, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Moshi Kakoso, alishauri serikali iharakishe upatikanaji injini mbadala za ndege aina ya A220-300 na pia itafute namna bora ya kuhakikisha ndege hizo zinaleta faida kwa nchi.

Mwenyekiti huyo alitaja changamoto nyingine ni upatikanaji vipuri kutokana na kushuka kwa uzalishaji vipuri hivyo duniani kutokana na athari za UVIKO-19.

Alisema ATCL pia inakabiliwa na uhaba wa marubani, hususan marubani viongozi, na wahandisi wenye leseni ya kuruhusu ndege kuruka baada ya matengenezo kukamilika.

View: https://x.com/Nipashetz/status/1886716612599845078?t=9cBWcQjvVHCqeKHZFAar-Q&s=19

Ccm mbere kwa mbere
 
Swali:
Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng?

---
LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.

Akiwasilisha bungeni jana taarifa ya mwaka ya kamati hiyo kwa kipindi cha Februari 2024 hadi Januari 2025, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Moshi Kakoso, alishauri serikali iharakishe upatikanaji injini mbadala za ndege aina ya A220-300 na pia itafute namna bora ya kuhakikisha ndege hizo zinaleta faida kwa nchi.

Mwenyekiti huyo alitaja changamoto nyingine ni upatikanaji vipuri kutokana na kushuka kwa uzalishaji vipuri hivyo duniani kutokana na athari za UVIKO-19.

Alisema ATCL pia inakabiliwa na uhaba wa marubani, hususan marubani viongozi, na wahandisi wenye leseni ya kuruhusu ndege kuruka baada ya matengenezo kukamilika.

View: https://x.com/Nipashetz/status/1886716612599845078?t=9cBWcQjvVHCqeKHZFAar-Q&s=19

A220-300 ni Boeing?
 
Swali:
Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng?

---
LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.

Akiwasilisha bungeni jana taarifa ya mwaka ya kamati hiyo kwa kipindi cha Februari 2024 hadi Januari 2025, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Moshi Kakoso, alishauri serikali iharakishe upatikanaji injini mbadala za ndege aina ya A220-300 na pia itafute namna bora ya kuhakikisha ndege hizo zinaleta faida kwa nchi.

Mwenyekiti huyo alitaja changamoto nyingine ni upatikanaji vipuri kutokana na kushuka kwa uzalishaji vipuri hivyo duniani kutokana na athari za UVIKO-19.

Alisema ATCL pia inakabiliwa na uhaba wa marubani, hususan marubani viongozi, na wahandisi wenye leseni ya kuruhusu ndege kuruka baada ya matengenezo kukamilika.

View: https://x.com/Nipashetz/status/1886716612599845078?t=9cBWcQjvVHCqeKHZFAar-Q&s=19


Kichwa cha habari umesema ni BOEING?? Rekebisaha mkuu
 
Kuna vitu vinafanywa na wanasiasa wakiwa na lengo la kujipatia faida binafsi tu,kwani kulikuwa kuna shida gani kama serikali ingeamua kuingia ubia na sekta binafsi kuliendesha hilo shirika? Sasa hivi ukiwauliza kuhusu faida na ufanisi wanadai watu wasiangalie mauzo ya tiketi tu huku wakidai eti inaleta watalii! Je hadi sasa wana ruti ngapi ambazo kabla yao kulikuwa hakuna kabisa usafiri wa moja kwa moja kutokea huko?
 
Kuna vitu vinafanywa na wanasiasa wakiwa na lengo la kujipatia faida binafsi tu,kwani kulikuwa kuna shida gani kama serikali ingeamua kuingia ubia na sekta binafsi kuliendesha hilo shirika? Sasa hivi ukiwauliza kuhusu faida na ufanisi wanadai watu wasiangalie mauzo ya tiketi tu huku wakidai eti inaleta watalii! Je hadi sasa wana ruti ngapi ambazo kabla yao kulikuwa hakuna kabisa usafiri wa moja kwa moja kutokea huko?
Serikali ifanye hivyo hata Sasa iwe na hisa chache nyingi waachiwe sekta binafsi,hii haikubariki kutumia Kodi za Wananchi maskini kwenda kuendeshea shirika la ndege.
 
Serikali ifanye hivyo hata Sasa iwe na hisa chache nyingi waachiwe sekta binafsi,hii haikubariki kutumia Kodi za Wananchi maskini kwenda kuendeshea shirika la ndege.
Serikali ifanye marekebisho kuiondoa ccm ili Kila kitu kiwe na tija...si lazima serikali iundwe na Hawa manyang'au
 
Nilijua hizi injini niki mnukuu CAG
IMG_0494.jpeg
 
Back
Top Bottom