Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

Bunge bhana. Siku mbili milioni. Wote tunakula ChakoNchako, tunalala Veta, tunatumia taxi za dom town, nyagi na bia za rose garden bei moja, club 84 bei moja, watoto wa Udom bei ileile nk kutwa nzima hata laki na nusu hujamaliza baada ya starehe zote hizi.
Balance laki tatu kwa siku. mara siku sitini milioni kumi na nane faida kwenye posho tu. Mungu akupe nini Tanzania?
 
Hadi bunge liishe tushatengeneza mamilionea 600.
 
Wanaokula maisha ni wanasiasa wengine wasindikizaji.
 
Imefika wakati siwachukii wanaofanya hivyo ila nawachukia sana walala hoi kama mimi wanaowaunga mkono hawa mafisadi ndiyo maana wanawapa kibri cha kufanya lolote na hawaogopi tena hata kunyimwa kura.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hii ni njia moja ya upashanaji habari. Na unapotaka ku-mobilize watu, imedhihirika sehemu nyingine duniani mitandao ya kijamii kama facebook ina nguvu sana. Si lazima kusubiri mpaka upewe mic, maana hutapewa.
Hawa wanasiasa wetu bwana kwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii...sasa kama ni msimamo wake, si asubiri kesho ndiyo aweke hiyo saini?
 
Imefika wakati siwachukii wanaofanya hivyo ila nawachukia sana walala hoi kama mimi wanaowaunga mkono hawa mafisadi ndiyo maana wanawapa kibri cha kufanya lolote na hawaogopi tena hata kunyimwa kura.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Upo sahihi kabisa. Walala hoi tulitakiwa tuanze kwa pamoja kwenda pale Mjengoni na kuwatoa kwa wingi wa umma. Lakini tutabaki kusaga vidole tu humu kwenye MITANDAO. POOR TANGANYIKANS, HELPLESS, IGNORANT, COWARDS, DESTITUTE, CRIPLLED, RETARDED, YOTE TU.
 
Hawa wanasiasa wetu bwana kwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii...sasa kama ni msimamo wake, si asubiri kesho ndiyo aweke hiyo saini?

Bila kuja mtandaoni wengine tusingejua hii habari. Au hujui kazi mitandao mkuu?
 

UNADHANI (MAN ALONE ) MBOWE ATAWEZA kuyapinga MAFISI ?
 
Hebu tuelimishane, mimi kama mwananchi wa kawaida nifanye nini kuzuia hii kitu?
 
Asante zzk fanyeni haraka tuwajue hao walioenda kujaza vitambi huko
 
Mboweee jmn tulisikia umetumwa na silaa ukatae hawakujua wee Mangi pesa mbele aiseee
 
posho hii ni rushwa Kwa wajumbe wa katiba ni lazma kikwete ataikubali, vinginevyo watanzania tuikatae kitu ambacho watanzania sio utamaduni wetu kwani ukisema maandamano sisi ambao kiuchumi tumepigika ndio tunaongoza kupinga Kwa kutumiwa na wenye fedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…